University of Dar es Salaam (UDSM) special Thread

hello... sorry for medical student naomb guideline ya disease management and treatment ngaz ya diploma kam kun mpya iliyotoka
 
Nimshukuru Muumba kwanza

Alafu ni wasalimu wote humu niwaalike mnisaidie kuhusu class representative wa chuo kama udsm i mean qualifications zipi na ni njia ipi ambayo mtu anapaswa kutumia ili awe class representative na je huyo class representative ana majukumu gani mengine tofauti na kusubmit kazi za wanadarasa.

Je changamoto zake ni zipi

Je kuna hasara zipi na faida zipi za kuwa CR maana i Wish sana niwe CR kwa kozi yangu maana nadhanikupitia hiyo nafasi ntaweza kuwasaidia wengi ili Mungu anihurumie na anisamehe zambi zangu plz naomba hata umtag mtu ili aje anisaidie
 
Haya sasa tukutane hapa wote ambao tunasoma, tumewahi soma chuo kikuu cha Dar es salaam tufanye ku share uzoefu wetu tukiwa pale na baada ya kutoka pale,
UDSoL-UDSM School of Law

CoET-College of Engeneering and Technology

CONAS+College of Natural and Applied science

SOED-UDSM School of Education

COSS-College of Social Science

COHU-College of Humanities

CoICT-College of Infonmation And Comminication Technology

SJMC-School of Jounalism and Mass Communication

SOH-UDSM School Of Health

UDBS-UDSM Business School

CoAF-College of Agriculture And Fisheries

IDS-Instute of Development Studies

IKS-Institute Of Kiswahili Studies


karibuni......sana
Nimshukuru Muumba kwanza

Alafu ni wasalimu wote humu niwaalike mnisaidie kuhusu class representative wa chuo kama udsm i mean qualifications zipi na ni njia ipi ambayo mtu anapaswa kutumia ili awe class representative na je huyo class representative ana majukumu gani mengine tofauti na kusubmit kazi za wanadarasa.

Je changamoto zake ni zipi

Je kuna hasara zipi na faida zipi za kuwa CR maana i Wish sana niwe CR kwa kozi yangu maana nadhanikupitia hiyo nafasi ntaweza kuwasaidia wengi ili Mungu anihurumie na anisamehe zambi zangu plz naomba hata umtag mtu ili aje anisaidie
 
Nimshukuru Muumba kwanza

Alafu ni wasalimu wote humu niwaalike mnisaidie kuhusu class representative wa chuo kama udsm i mean qualifications zipi na ni njia ipi ambayo mtu anapaswa kutumia ili awe class representative na je huyo class representative ana majukumu gani mengine tofauti na kusubmit kazi za wanadarasa.

Je changamoto zake ni zipi

Je kuna hasara zipi na faida zipi za kuwa CR maana i Wish sana niwe CR kwa kozi yangu maana nadhanikupitia hiyo nafasi ntaweza kuwasaidia wengi ili Mungu anihurumie na anisamehe zambi zangu plz naomba hata umtag mtu ili aje anisaidie
Upo College/School ipi kwanza?
 
Nimshukuru Muumba kwanza

Alafu ni wasalimu wote humu niwaalike mnisaidie kuhusu class representative wa chuo kama udsm i mean qualifications zipi na ni njia ipi ambayo mtu anapaswa kutumia ili awe class representative na je huyo class representative ana majukumu gani mengine tofauti na kusubmit kazi za wanadarasa.

Je changamoto zake ni zipi

Je kuna hasara zipi na faida zipi za kuwa CR maana i Wish sana niwe CR kwa kozi yangu maana nadhanikupitia hiyo nafasi ntaweza kuwasaidia wengi ili Mungu anihurumie na anisamehe zambi zangu plz naomba hata umtag mtu ili aje anisaidie
Uwe na SmartPhone, Sauti kubwa yaan ukisimama pale Yombo4&5 unaongea wanakusikia wote mwisho na muhimu uwe na kiherehere Mkuu

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Jaman kuna rafiki yangu kaomba transfer udsm kapewa form ya kujaza kajaza je apo uhakika wa kuchaguliwa upo au maana Kasubir n wiki sasa
 
JF ndaidien kupata soft copy ya hiki
20221122_081832.jpg
 
Back
Top Bottom