University of Dar es Salaam (UDSM) special Thread

Haya sasa tukutane hapa wote ambao tunasoma, tumewahi soma chuo kikuu cha Dar es salaam tufanye ku share uzoefu wetu tukiwa pale na baada ya kutoka pale,
UDSoL-UDSM School of Law

CoET-College of Engeneering and Technology

CONAS+College of Natural and Applied science

SOED-UDSM School of Education

COSS-College of Social Science

COHU-College of Humanities

CoICT-College of Infonmation And Comminication Technology

SJMC-School of Jounalism and Mass Communication

SOH-UDSM School Of Health

UDBS-UDSM Business School

CoAF-College of Agriculture And Fisheries

IDS-Instute of Development Studies

IKS-Institute Of Kiswahili Studies


karibuni......sana
 
Daah wengine hapatufai hapa.
[HASHTAG]#Lasaba[/HASHTAG]

Post sent using JamiiForums mobile app
 
CONAS wazee wa departmental GPA, ukizubaa kidogo tu bumu la field linakuwa ndio la mwisho!
Kwa mwaka wa mwisho ndio hivyo joho utaishia kuliona kwenye Tv na picha za wenzako!

Sent from my Diamond Crypto using JamiiForums mobile app
 
CONAS wazee wa departmental GPA, ukizubaa kidogo tu bumu la field linakuwa ndio la mwisho!
Kwa mwaka wa mwisho ndio hivyo joho utaishia kuliona kwenye Tv na picha za wenzako!

Sent from my Diamond Crypto using JamiiForums mobile app

Kuna kozi kama ZL121 na ZL122(mzungu yule anazingua kinomaaa Prof. Howell)
Hizo kozi zinapoteza walimu sana aisee walimu wengi wanao disco kutoka CoNAS basi ZL zimechangia

Nothing is easier than blaming others for your own problems
 

Kuna kozi kama ZL121 na ZL122(mzungu yule anazingua kinomaaa Prof. Howell)
Hizo kozi zinapoteza walimu sana aisee walimu wengi wanao disco kutoka CoNAS basi ZL zimechangia

Nothing is easier than blaming others for your own problems
Hizo ZL naziskia tu jinsi zinavyokula watu vichwa...!

Sent from my Diamond Crypto using JamiiForums mobile app
 
Haya sasa tukutane hapa wote ambao tunasoma, tumewahi soma chuo kikuu cha Dar es salaam tufanye ku share uzoefu wetu tukiwa pale na baada ya kutoka pale,
UDSoL
CoET
CONAS
SOED
COSS
COHU
CoICT
SJMC
SOH
UDBS
CoAF
IDS
N.k


karibuni......sana
Du kumbe wengi wenu ni watoto wa juzi.
Tupo tuliokuwepo kabla ya colleges, naikumbuka FoE.
 
Back
Top Bottom