Yukina
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 201
- 112
Naomba kuuliza, TCU ilitoa fursa kwa wale wa Mwaka wa kwanza kubadilisha Program zao kwa wanaotaka, hadi leo hakuna majibu na Masomo yanaendelea , hivi kweli yatakapotoka huko anakotoka kuhamia ataweza kuyaelewa kama hakuanzi program mwanzoni na ni Kwanini UDSM haitoi majina ili wanaotaka kuhama wahamie mapema na tatizo ni nini mbona yasitoke ?