Kesho nitaenda NACTE aiseee, nikipata AVN nitaenda mpaka kwa marector wa vyuo, lazima nisome mwaka huu.Okay good lucky i hope utapata mkuu
Kesho nitaenda NACTE aiseee, nikipata AVN nitaenda mpaka kwa marector wa vyuo, lazima nisome mwaka huu.Okay good lucky i hope utapata mkuu
Kesho nitaenda NACTE aiseee, nikipata AVN nitaenda mpaka kwa marector wa vyuo, lazima nisome mwaka huu.




good lucky broKwann unasema 2013, kwani waliomaliza 2013 hawatakiwi kusoma mwaka huu...?matokeo yako ya olevel yatakuwa ya mwaka 2013 wewe ndio maana umetemwa
Chuo hakiwezi kujipangia dirisha LA udahili labda kama TCU wameongeza mdamkuu naona baadhi ya vyuo wameongeza Kufanya maombi mpaka tarehe 26/10/2020
Taarifa hyo wametoa wapi mkuu..?vyuo vyote ilikuwa jana.....sema kuna taarifa kuwa wameongeza muda. Inawezkana na hao cbe wakawa wameongeza muda.
Ukisoma vizuri hili tangazo la TCU linaonesha dhahiri kuwa kuna uwezekano mkubwa wa kuruhusu dirisha la 3Daah, kwahiyo tusiopata nafasi ya kuapply ndo basi tena?
Ngoja hii AVN nikomae nayo kwelikweli.Ukisoma vizuri hili tangazo la TCU linaonesha dhahiri kuwa kuna uwezekano mkubwa wa kuruhusu dirisha la 3
Chuo kikuu zinaitwa Admission letters, na sio hivyo ulivyoandika.Guys joining instructions zinatoka lin
Tokeo kwani mmefanya mtihani gani?Hapo admin wao atakuwa amevujisha mze au system tu imeyumba
Lakini habari kutoka chanzo cha kuaminika zinasema had tar 26 tokeo litakuwa wazi.
Wacha tusubiri tuone this week inakuwaje
Hata jouning instruction pia chuo zipo. Admission letter pia zipo. Baadhi ya vyuo zinakuwa tofauti, admission letter unapewa na joining instruction pia unapewa. Eg CBE.Chuo kikuu zinaitwa Admission letters, na sio hivyo ulivyoandika.
Kwani umeshindwa kuipata online?Kesho nitaenda NACTE aiseee, nikipata AVN nitaenda mpaka kwa marector wa vyuo, lazima nisome mwaka huu.
tayari mkuuWAJUBA, SOKOINE UNIVERSITY(SUA) WAKIANZA KUTOA SELECTION HUKO KWENYE ACCOUNTS TUSTUANE KIROHO SAFI
Acha masihara bactayari mkuu
sure mkuu sikutaniiiii
Ngoja nicheksure mkuu sikutaniiiii
Ulete feedback basiNgoja nichek