Jiwe kuu01
JF-Expert Member
- Jul 30, 2020
- 228
- 86
Wakuu hivi mwaka huu selection zinaweza zikaishia hizi hizi mbili tu au Kuna uwezekano wakaongeza Tena?
ni hizi hizi mkuu...labda itokee kwa bahatiWakuu hivi mwaka huu selection zinaweza zikaishia hizi hizi mbili tu au Kuna uwezekano wakaongeza Tena?
Duuuuhni hizi hizi mkuu...labda itokee kwa bahati
Mungu yu pamoja nasi. Tutapata insha Allah.Duuuuh
Mungu asaidie Round hii tupate aseeh
AminMungu yu pamoja nasi. Tutapata insha Allah.
mkuu naona baadhi ya vyuo wameongeza Kufanya maombi mpaka tarehe 26/10/2020Wakuu hivi mwaka huu selection zinaweza zikaishia hizi hizi mbili tu au Kuna uwezekano wakaongeza Tena?
Aaaha bac mkuu nafikiri Tutapata aseehmkuu naona baadhi ya vyuo wameongeza Kufanya maombi mpaka tarehe 26/10/2020
Kweli kabsa mkuutujitahid kuomba vyuo vingi na si lazima tuombe vyuo vile vyenye majina sana. Tutapata tu.
mwisho ilikuwa jana .Bt till now iko open...kma hujaomba, omba sasa mkuu.CBE deadline ya Second Selection ni lini?
Second selection deadline ilikuwa jana kwa CBE?mwisho ilikuwa jana .Bt till now iko open...kma hujaomba, omba sasa mkuu.
Now pia wako wazi, nahisi wameongeza muda.Na kwa TIA deadline second selection ni lini?
Hii AVN kwangu kuipata ni ishu, kuna namna gani rahisi kuweza kuipata mkuu? Kwenda kwao NACTE wenyewe ama?Now pia wako wazi, nahisi wameongeza muda.
Hii AVN kwangu kuipata ni ishu, kuna namna gani rahisi kuweza kuipata mkuu? Kwenda kwao NACTE wenyewe ama?
kama matokeo yako yameshafika nacte, njia rahisi ni kwenda nacte, mana wana verify kwa mtu mmoja mmoja, ila ukiwafata pale tatizo lako linarekebishwa muda huohuo. Nilienda nacte zaid ya mara nne...haya mambo haya.Hii AVN kwangu kuipata ni ishu, kuna namna gani rahisi kuweza kuipata mkuu? Kwenda kwao NACTE wenyewe ama?