Samahani mkuu, nikienda kule inabidi niende na vyeti? Na kuna foleni ya kutisha?Nacte tuu
Samahani mkuu, nikienda kule inabidi niende na vyeti? Na kuna foleni ya kutisha?Nacte tuu
Ukienda tatizo linarekebishwa muda huohuo ama halirekebishwi muda huohuo?kama matokeo yako yameshafika nacte, njia rahisi ni kwenda nacte, mana wana verify kwa mtu mmoja mmoja, ila ukiwafata pale tatizo lako linarekebishwa muda huohuo. Nilienda nacte zaid ya mara nne...haya mambo haya.![]()
kama chuo kimeshatuma matokeo full, namaanisha soft copy na hard copy ...Tatizo lako ni hapohapo...unaondoka na avn mkuu.Ukienda tatizo linarekebishwa muda huohuo ama halirekebishwi muda huohuo?
Hapa nikirequest online wanasema registration number ya chuo nilichosomea diploma na mwaka niliomaliza havipo ktk data base yao.kama chuo kimeshatuma matokeo full, namaanisha soft copy na hard copy ...Tatizo lako ni hapohapo...unaondoka na avn mkuu.
Usiweke registration no. Ya chuo... Weka registration no. Ya form four na mwaka uliomaliza form 4... Kama una uhakika matokeo yenu yakishapelekwa nacte... Basi ukirequest Avn no. online unaipata mda huo huo baada ya kulipia.Hapa nikirequest online wanasema registration number ya chuo nilichosomea diploma na mwaka niliomaliza havipo ktk data base yao.
Daah, kwahiyo tusiopata nafasi ya kuapply ndo basi tena?
Mkuu jaribu Tena Maana University of Iringa wamenitumia txt muda huu wananiambia nimalizie kufanya application kabla ya tareh 22Daah, kwahiyo tusiopata nafasi ya kuapply ndo basi tena?
Mimi AVN wamenambia nitaipata ndani ya siku 5.Mkuu jaribu Tena Maana University of Iringa wamenitumia txt muda huu wananiambia nimalizie kufanya application kabla ya tareh 22
DuuuuhMimi AVN wamenambia nitaipata ndani ya siku 5.
Mimi AVN wamenambia nitaipata ndani ya siku 5.
NACTE inabidi uende na nini?Mzee fika nacte tu mi izo cku nlisubiri na majibu yakawa negative
huna haja ya kwenda na cheti chochote pale. Uwe unakumbuka namba yako ya form four tu. baasi kila kitu kinaonekana,kama matokeo yako yametumwa unapata award verification number.Hivyo wanafanya verification kwa kuangalia matokeo yaliyopo kwenye system yao,yaliyotumwa na chuo na kuangalia vyeti vyako ulivyo enda navyo au inakuaje...!Ufafanuzi kidoko kwa wewe uliefika Nacte...!
Kesho mapema tu miguu yangu ipo ktk office zao.huna haja ya kwenda na cheti chochote pale. Uwe unakumbuka namba yako ya form four tu. baasi kila kitu kinaonekana,kama matokeo yako yametumwa unapata award verification number.
Nilimaanisha dirisha la pili wamefunga leo kwani nimekosea na pia siwezi leta barua kabla sijaiaoma hadi mwisho mkuuSoma barua mpaka mwisho.
Ndo maana mnapataga supp.
Hahaha sawa mwanafunzi mwenzangu.Nilimaanisha dirisha la pili wamefunga leo kwani nimekosea na pia siwezi leta barua kabla sijaiaoma hadi mwisho mkuu
Okay good lucky i hope utapata mkuuHahaha sawa mwanafunzi mwenzangu.
Mimi nasubiria huo utaratibu wakaotupa.