University Admission Results 2020

University Admission Results 2020

1st round nimechagua vyuo 7 na matokeo yangu yapo fresh ila sijapata chuo ata kimoja, now nimejaribu second round nione ntapata au napo ntatoka kapa
 
1st round nimechagua vyuo 7 na matokeo yangu yapo fresh ila sijapata chuo ata kimoja, now nimejaribu second round nione ntapata au napo ntatoka kapa
duuh, vyuo 7 mkuu....
MD nn mana hawa jamaa wanatemwa sana kwaajili ya competition...
 
Unakisema kina ukweli aiseee
yah kuna baadhi ya kozi wanapendelea zaid fresh, nyingi ni za sayansi. Ila pia kuna baadhi ya kozi wanapendelea zaid Diploma, mfano business.
Unaweza ukawa na GPA ya 4.7 UD ukatemwa, akachkuliwa mwenye divission 2. UD wanaangalia zaid matokeo ya form 4. Ni kawaida mkuu.
 
Unakisema kina ukweli aiseee
Inatagemea na coz...kama kuna competition kubwa na chuo ulichoomba lazima utemwe...mtu mwenye diploma ya CO aende akaombe Muhas seriously?... Yaani hatakama ni mimi nina GPA 4.5 siombii...natafuta vyuo vingine ili kujiweka katika nafasi nzuri ya kupata
 
yah kuna baadhi ya kozi wanapendelea zaid fresh, nyingi ni za sayansi. Ila pia kuna baadhi ya kozi wanapendelea zaid Diploma, mfano business.
Unaweza ukawa na GPA ya 4.7 UD ukatemwa, akachkuliwa mwenye divission 2. UD wanaangalia zaid matokeo ya form 4. Ni kawaida mkuu.
Mm nilikuwa na 4.4 na math olevel nina C na nikatemwa
 
Back
Top Bottom