Mganga siyo Mwanasayansi.Kama waganga wa kienyeji nao ni wanasayansi,endelea kucheka sana Zurri.
Mganga siyo Mwanasayansi.Kama waganga wa kienyeji nao ni wanasayansi,endelea kucheka sana Zurri.
Ngoja nikusaidie kwa hoja za kiakili tu, kwa akili yako au kwa ufahamu wako unahisi hii Dunia na vilivyomo havina mwenyewe ? Au vimetokea tu kwa bahati mbaya au "from nothing" au "imejitengeneza na kujitengeneza? "Kasema wapi? Alimuambia nani?
Kasema katika bongo na alimwambia kiumbe mwenye fikra na utashi awasilisheKasema wapi? Alimuambia nani?
Naomba unikumbushe chief, maana huwa nayasoma karibu kila siku.
Hapo umeniacha kabisa.Kasome kitabu cha mwisho chote kabla ya neno amin/amen.
Unasomaga nini kila siku?Hapo umeniacha kabisa.
Vitabu vinavyo jisi Imani yangu.Unasomaga nini kila siku?
Kivuli ni absence of light due to its blockage lakini sio 100% blockage la sivyo "utaona" giza badala ya kivuliSehemu unayoiona mf.kivusli cha mti sio absence of light?
Vitabu vinavyo jisi Imani yangu.
Kivuli ni absence of light due to its blockage lakini sio 100% blockage la sivyo "utaona" giza badala ya kivuli
Vyema vinaongelea nini kabla ya kiama?
Vyema vinaongelea nini kabla ya kiama?
Mambo mengi mnoa, ila kabla ya Qiyama, kuna ishara za sampuli mbili, nazo ni :
1. Ishara ndogo
2. Ishara kubwa
Hizi Ishara ndogo zimetokea tayari nyingi miongoni mwazo.
Mfano wa ishara ndogo ni :Zinakuja bado zipo hewani nyingi hazijatimia ni jambo la muda
Haitatokea.Wakipata wanacho kitafuta huenda watapata faida zaidi, assume wagundue sayari yenye kuweza kusupport uhai kama dunia ilivyo, au wakundue extra terrestrial ambao wako advanced kuliko sisi yani wana teknolojia ambayo iko so advanced kiasi kwamba sisi yetu inaonekana kama enzi za mawe?
Wewe unaelewa hata nilichoandika?Satellite my foot...they are only underground cables acha sound mzee
Duh Elimu haina mwisho aisee.Mfano point a mpaka point b ni kilometer 3.ukiwa na chombo cha kusafiri kwa speed ya kilometer 3 kwa lisaa ina maana kwa chombo hicho utatumia lisaa limoja kucover hiyo distance ya point a to b.
Ok ukipata chombo chenye speed ya kilometer nne kwa sekunde ..je point a to b utakuwa umetumia muda gani??
TIME DOESNT EXIST IS JUST CHANGE IN EVENTS ,DAY AND NIGHTS AND GROWTH.
Sasa hapa siwezi jua percentage. Katika lugha ya kawaida ya kiswahiki, tuna giza nene au totoro, giza, giza la mbalamwezi, mchana, jioni etc na yote ni absence of light but in varying degrees. Giza ambalo ni absolute No Light labda la kwenye movie theatres wakizima taa zote.Giza na kivuli tofouti ni ipi haswa percentage of blockage from light au absence of light?
Maana naona kote kunamaanisha NO LIGHT
Sayansi ya mambo ya anga ina utata sana.Unapanuka kwa maana gani mkuu ?
Kwamba mwanzo ulimwengu ulikuwa kama puto alafu kadri siku zinavyokwenda ndo ulimwengu unapanuka kama vile ambavyo mtu anaouliza puto nalo kupanuka mkuu ama kupanuka kivipi ?
Sasa patia picha mtu uwezo wake wote wa kufikiri bado anaamini hivyo na anatarajia anaweza kuelewa mambo ya universe kiujumla [emoji28][emoji119]Huwezi kujua kila kitu kwa hiyo hakuna sababu ya kubisha vitu ambavyo huna ufahamu navyo ila waulize wanaojua wakufundishe
Yani Leo hi unapinga kuwa dunia haizunguki katika muhimili wake?