Hao ndo wale mabinti wa Ahmed na Sango Kipozi?
Ndo hao hao
Hivi mmoja aliolewa na mjapan au nachanganya madesa?
Hahhaaa kwa nini kibabu? Usikute kijana wa kijapenga tena mtanashati mrefu kama yule basketballer anayetesa sasa hiviInawezekana maana waliishigi huko Ujapengani miaka ya 80 na huenda kuna kibabu cha kijapenga kilimzimikia mmoja wao
Hahhaaa kwa nini kibabu? Usikute kijana wa kijapenga tena mtanashati mrefu kama yule basketballer anayetesa sasa hivi
Aah bana amekaa kichina china na kijapenga japenga sijui muasia nusu mi sijui wee si ndo unawajua hao basketballers...Kuna mcheza kikapu wa kijapenga? Na anachezea ligi gani?
Kuna mcheza kikapu wa kijapenga? Na anachezea ligi gani?
Kuna mcheza kikapu wa kijapenga? Na anachezea ligi gani?
yupo, anaitwa Nitashika Yakonyuma
yupo, anaitwa Nitashika Yakonyuma
Mambo vp wakuu?naomba kuuliza,mwenye kujua hawa wadada wanandugu wanao unda hili kundi lililopata kuwika mwanzon mwa miaka ya 2000 wako wapi na wanafanya nin anijuze?
Msimsahau Kumamoto Takowaka.
sura zao tu...mm hoiii!hata sitaki kujua walipo...