Msimsahau Kumamoto Takowaka.
U made my day
Msimsahau Kumamoto Takowaka.
Uniques Sisters hawajaanza muziki mwanzoni mwa 2000 bali 90's kama sikosei 96 au 97 we fikiria tu chemsha bongo wa profesa jay ulitoka mwaka 2000 na pia kuna wimbo soggy aliwashirikisha unique sisters mwaka 98 wimbo unaitwa nikisema luv say I luv u too nikisema need I need u too.(Acha huo wa Dully)
sura zao tu...mm hoiii!hata sitaki kujua walipo...
Kawatafute facebuk!!
Msimsahau Kumamoto Takowaka.
Dah, umenikumbusha nyimbo za zamani sana, wimbo wa soggy ulitoka 1999
Dah! Sio mchezo
Anachezea kikapu timu ya znz!!namjua!!!
U made my day
U made my day
Mmmhhh mkuu usiwe unachanganya wimbo wao waliomshirikisha MAc Dee unaitwa Bounce usiku bado mchanga mbalamwezi inawaka alikuwa anautwanga sana DJ JD.
No nina uhakika waliimba na Hasheem Dogo nyimbo ilikuwa inaitwa sikiliza.. Beat yake Fredwaa alikua anaitumia kama opening na background ya show yake ya ijumaa usiku.. Kumbuka hii mistari ya Hasheem .. Mi kuna mwanamke mi ananipa kiwewe yani mchana akikosa usiku najihukumu mwenyewe sumu asipewe na mwanaume mwingine anatema ndio maana naona bora nitie nanga mapema.
Aah bana amekaa kichina china na kijapenga japenga sijui muasia nusu mi sijui wee si ndo unawajua hao basketballers...
KIPOZI sisters Nadhani the eldest atakuwa around 40 or less ....sidhani kama kweli watakuwa na wajukuu ......Hao wadada walikuwa poa Sana, juzi nilimuona mmoja amezeeka Sana Na mvi juu pia alikuwa Na mjukuu wake mdogo
Na hao wanafanana na mama yao ambaye naye kafanana na kaka yake, sasa ukimuona huyo mjomba wao si utazimia kabisa..