Dawa yake ni utupe kiaposiri ya mtungi aijuaye kata....
Mkuu kwani haujampata wa kukupa raha?Heheheh
Mi nataka mwanaume anipe raha nijione dunia nzima mimi tu
Hahahaaaa,,,,yule hafi mkuu
Unataka nikutangazie iliMkuu kwani haujampata wa kukupa raha?
Daddy yake aliyempiga GoliathYupi huyo mkuu?
Daddy yake aliyempiga Goliath
Sina maana hiyo ila nimeuliza tu,maana umesema "unataka" labda upo singleUnataka nikutangazie ili
Kwani kujaa pm ni ajabu au ni fursa hiyoAnataka utangaze ili wakajae PM
Sad n very touching...! Mungu akutie nguvuUzi umenikumbusha mengi sana huu hadi machozi yamenitoka, nimefiwa na watu wengi lakini mtu ambaye sikupenda afe kabisa ni Mme Wangu, sijui kwanini mungu aliweka hili kifo, nikupitia hiki kifo hadi sasa hivi saa nane lakini nipo macho na usingizi sipati, miezi Tisa sasa imepita ya kipindi kigumu na changamoto ya kila sina, lakini naona nikama Jana tu, upumzike kwa amani huko uliko, sasa unaitwa baba faraja, ila atakapokua nakuniuliza mama yuko wapi baba sijui nitamjibu nini mwanao
Uzi umenikumbusha mengi sana huu hadi machozi yamenitoka, nimefiwa na watu wengi lakini mtu ambaye sikupenda afe kabisa ni Mme Wangu, sijui kwanini mungu aliweka hili kifo, nikupitia hiki kifo hadi sasa hivi saa nane lakini nipo macho na usingizi sipati, miezi Tisa sasa imepita ya kipindi kigumu na changamoto ya kila sina, lakini naona nikama Jana tu, upumzike kwa amani huko uliko, sasa unaitwa baba faraja, ila atakapokua nakuniuliza mama yuko wapi baba sijui nitamjibu nini mwanao
pole sana farajamlenga