Undumilakuwili wa JF Members

Undumilakuwili wa JF Members

Wewe ni zoba
20241103_155318.jpg
 
View attachment 3516525

My people,​


Utangulizi:

Kwanza naomba kutoa shukrani zangu za dhati kwa members wote ambao bila kuchoka pamoja na kutukunwa na kurushiwa maneno machafu lakini bado mmesimama imara kupigania kile tunachokiamini nacho ni Tanzania yenye amani


Tuendelee kupigania kile tunachoamini ni sahihi hata kama tukiwa wachache,tujue kwamba siku zote wachache ndio huamsha chachu ya kuleta mabadiliko,

Alright let's get back to the business


Siku zote hapa jukwaani tumekuwa tukipigania uhuru wa kutoa mawazo na maoni yetu,wakati mwingine huenda mbali zaidi Kwa kulaumu mods kufuta nyuzi zao

Lakini kwa uelewa mbaya sana baadhi yetu wanajua kuongea na kutoa maoni kwa uwazi ni dhidi ya Serikali tu,hawajui kwamba tunapo pigania uhuru wa kutoa mawazo na maoni yetu ni dhidi ya kada yoyote ile maadamu kuna jambo tunataka kuliweka sawa

Masiku kadhaa yaliyopita kuna watu walikuwa wanapush agenda ya kufanya fujo na vurugu,kuna member mmoja bwana Lord,alikuwa anapitia kila uzi na kuhamasisha kutembea na petrol na mapanga kwa ajili ya kupambana na dola

Hatukusikia member hata mmoja akilikemea hili swala,sana sana mlionnyesha kusapoti kwa namna moja au nyingine,leo hii baadhi yetu tunapush agenda ya Amani na kuwalinda vijana dhidi ya watu wenye agenda zao za siri kuhamasisha maandamano haramu, ili wao wapate kuishi hapa town huku vijana wetu wanateketea hali wao wakiwa salama

Wakiuwawa au kudhurika wanawaita wapambanaji,halafu zoezi linaendelea tena kwa kutafuta victims wengine,hii haikubaliki hata kidogo tunapinga kwa nguvu zetu zote

Watu hawa bila aibu wala haya wanalalamika kwa mods kwamba kuna watu wapigwe ban,kwasababu wanafurahia mauaji yaliyotokea 29 October 2025

Wanachojaribu kufanya ni kupotosha ukweli baada ya kuona mashambulizi yamekuwa makali sana dhidi yao kutoka kwa members ambao wamejua mchezo wao mchafu

Siku zote katika hii movement hakuna kauli hata moja iliyotolewa kuonyesha kwamba tumefurahishwa na mauji ya 29 Oct kama mna ushahidi naomba muweke risiti hapa kila mtu aone,na najua hamna kwakuwa hakukuwa na kitu kama hicho na hakutakuwa na kitu kama hicho

Kwahiyo tuache uzushi na upotoshaji, hii movement itaendelea kwa nia njema kabisa ya kuleta awareness kwa vijana ambao ndio hutumika kama chambo au kete ya kufanikisha mipango ya hawa madhalimu ambao wanataka kuichoma nchi yetu,kwa pamoja tutashinda

Mimi na wenzangu tutaendelea kukabia kwa juu sana na kupress very hard kuhakikisha adui anakosa kwa kupumilia ikiwezekana akose pumzi kabisa na kukaa chini


Mapambano bado yanaendelea

Ni hayo tu!


Ukisikia mtu yeyote anakuambia anahamasisha amani LAKINI mtu huyo huyo hahamasishi HAKI, kuna uwezekano wa mambo mawili tu kuhusiana na huyo mtu:

1) Ni punguani wa akili, hivyo hana uelewa
au

2)Ni mtu mnafiki, anatamka tu mdomoni AMANI,lakini ndani ya moyo wake hataki kabisa amani, ndiyo maana hataki kabisa kuhamasisha kinachosababisha amani.

Utakuwa ni kichaa mwendawazimu, uende kwa mtu ambaye ndugu yake ametekwa na kuuawa, ukamwambie awe na AMANI!! Utakuwa ni juha shetani mkubwa wewe. Mtu yupo gerezani kwa kubambikiwa kesi, ukamwambie kuwa awe na amani, yaani aendelee kukaa gerezani kwa dhuluma na uonevu, lakini awe na amani, utakuwa ni shetani mkubwa wewe.

Anayeipenda amani, akienda kwa mtu aliyebambikiwa kesi, na kisha akawekwa gerezani kwa kuonewa, akamwambia asiwe na wasiwasi, taratibu zinafanyika kuhakikisha mtu huyo aliyeonewa anatendewa HAKI, automatically mtu huyo ataanza kupata AMANI moyoni mwake, kwa sababu umeenda kwenye mzizi au kwenye kisababishi cha kuondoa amani yake moyoni.

Tuache unafiki na uwendewazimu, kama tunataka AMANI, nguvu zote zielekezwe kwenye kisababishi cha kuleta au kuondoa AMNI, kisababishi pekee ni HAKI.
 
Ukiona mtoto analia Sana ujue kiboko kimemuingia .
............Ila hawataki mawazo mbadala sasa hawa wana utofauti gani hao wanaowalalamikia kuwanyima Uhuru huo .
Movement ya kumkomboa Kijana wa kitanzania lazima iendelee hatuwezi kuruhusu machafuko katika Taifa letu kwa maslahi ya watu wachache.

UKIONA MTOTO ANALIA SANA UJUE KIBOKO KIMEMUINGIA
Mawazo mbadala hayawezi kutokea kwa mdada M.K na Sarungi wanaoishi nje ya nchi na wasiyoijua TZ na utamaduni wake.
Wao nia yao ni kuleta machafuko tu ndani ya TZ.
Mbaya zaidi mnawakodi vijana wa Kenya ambao wao wenyewe wameshindwa kumtoa Rais Ruto japo ya kujipanga vizuri mpaka kuingia bungeni. Eti walioshindwa Kenya ndio waje wafanikiwe TZ, huu ni uchovu wa hali ya juu.

Mmepotea sana, rudi nyuma. Tunataka mabadiliko lakini sio ya kuchoma nchi. Eti watanzania wote.... Hivi walioandamana wanazidi hata Milioni moja? Milioni moja ni aslimia ngapi ya milioni 60. Acheni kujitoa akili na kuwa vichaa wa propaganda. Nina mengi, ila niweke nukta kwa leo. JITAFAKARINI!
 
Ukiona mtoto analia Sana ujue kiboko kimemuingia .

Wameanza kuomba msaada kwa MOD na kufungua threads kutuita watu machawa n.k


Wanataka Uhuru wa habari na mawasiliano Ila hawataki mawazo mbadala sasa hawa wana utofauti gani hao wanaowalalamikia kuwanyima Uhuru huo .



Movement ya kumkomboa Kijana wa kitanzania lazima iendelee hatuwezi kuruhusu machafuko katika Taifa letu kwa maslahi ya watu wachache.


UKIONA MTOTO ANALIA SANA UJUE KIBOKO KIMEMUINGIA
Bwahaaaa bwahaaa😂😂, same id's!
 
You know what bro,whether CCM is a political party or not according to you it's non of our business

Here we are pushing for peace and harmony,and we conderm the participation of young men to the so called demonstration ,which at the end of the day no activists who get killed but our young men

We are not affiliated with CCM but our movement is to bring awareness to the youth to stay away from other people's business
There is every reason and every circumstance to declare that CCM is not a political party; CCM is a terrorist organization. From now on, the world must place it on the list of terrorist organizations.
Ccm is the ruling party of Tanzania government under Samia Suluhu hassan
 
Unaweza leta risiti ukazibitisha hapa?
There is every reason and every circumstance to declare that CCM is not a political party; CCM is a terrorist organization. From now on, the world must place it on the list of terrorist organizations.
Ccm is the ruling party of Tanzania government under Samia Suluhu hassan
 
Unataka kuniua ? 🤣🤣🤣🤣 Unaona Sasa level zako za wajinga tu...🤣🤣🤣 Real People with real money and power don't brag like you fool. 😂😂😂
There is every reason and every circumstance to declare that CCM is not a political party; CCM is a terrorist organization. From now on, the world must place it on the list of terrorist organizations.
Ccm is the ruling party of Tanzania government under Samia Suluhu hassan
 
Mawazo mbadala hayawezi kutokea kwa mdada M.K na Sarungi wanaoishi nje ya nchi na wasiyoijua TZ na utamaduni wake.
Wao nia yao ni kuleta machafuko tu ndani ya TZ.
Mbaya zaidi mnawakodi vijana wa Kenya ambao wao wenyewe wameshindwa kumtoa Rais Ruto japo ya kujipanga vizuri mpaka kuingia bungeni. Eti walioshindwa Kenya ndio waje wafanikiwe TZ, huu ni uchovu wa hali ya juu.

Mmepotea sana, rudi nyuma. Tunataka mabadiliko lakini sio ya kuchoma nchi. Eti watanzania wote.... Hivi walioandamana wanazidi hata Milioni moja? Milioni moja ni aslimia ngapi ya milioni 60. Acheni kujitoa akili na kuwa vichaa wa propaganda. Nina mengi, ila niweke nukta kwa leo. JITAFAKARINI!
😂😂 Joined december 2025🙆
 
Kuna mbwa mmoja hawezi kukemea mabaya yanayofanywa na Ccm kama kuteka,kuua, kuminya uhuru wa maoni, kuiba kura, ufisadi wa kutisha etc, kazi yake kubwa huyo kumer ni kuandika "Amani ni tunu yetu basi tuilinde kwa wivu mkubwa sana"

Sio kupigwa ban tu, niko radhi hata account yangu ifutwe sitaweza kumwacha mtu ashangilie mateso ya Watanzania kwa kisingizio cha uhuru wa maoni... Ukitaka uhuru wa namna hiyo mpelekee bibi yako.
 
Si ndio uhuru wa kujielezea huo ?

Kama unacheki hata movie za kivita kamanda akiona kikosi chake kinazidiwa hakitoboi anatoa retreat order au order ya kusurrender iliniuepusha mauaji ya watu wake wengi.

Sasa unaweza kuwatoa raia kizembe bila plan B na ukijua kabisa destination yao ni kifo na mission haotofanikiwa ?

Kuna wakati mtu unaweza kuishi kwenye manyanyaso ukavumilia kwa kugundua nikishanbulia madhara yake ni makubwa Bora nilinde uhai kwanza na maslahi Fulani huku nikijupanga kisawasawa
Somehow we ta.hi..ra umeongea point, kwa kiasi flan umejitofautisha na huyo m..k..un.du.. mwenzako.
 
Si ndio uhuru wa kujielezea huo ?

Kama unacheki hata movie za kivita kamanda akiona kikosi chake kinazidiwa hakitoboi anatoa retreat order au order ya kusurrender iliniuepusha mauaji ya watu wake wengi.

Sasa unaweza kuwatoa raia kizembe bila plan B na ukijua kabisa destination yao ni kifo na mission haotofanikiwa ?

Kuna wakati mtu unaweza kuishi kwenye manyanyaso ukavumilia kwa kugundua nikishanbulia madhara yake ni makubwa Bora nilinde uhai kwanza na maslahi Fulani huku nikijupanga kisawasawa
There is every reason and every circumstance to declare that CCM is not a political party; CCM is a terrorist organization. From now on, the world must place it on the list of terrorist organizations.
Ccm is the ruling party of Tanzania government under Samia Suluhu hassan
 
Back
Top Bottom