DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 31,676
- 81,659
BAKORA IMEWAINGIA BALAA, TEMBEZA MBOKO HAYA BOY
Hakika š
Huu ni mwanzo tu
BAKORA IMEWAINGIA BALAA, TEMBEZA MBOKO HAYA BOY
Leta hoja, kama mpaka sasa hujajua nazungumia nini basi una shida pahalaWewe si ndio umesema unawaokoa sasa unamuokoa mtu kwenye nini na dhidi ya kitu gani?
Mshazoea kumanupulate uhalisia siku zote
Kaka simamia haki na ukweli hapa duniani tunapita tu
Analazimisha kusoma kitabu ambacho hakielewi .Leta hoja, kama mpaka sasa hujajua nazungumia nini basi una shida pahala
Asante sana,umenirahisishia kaziAnalazimisha kusoma kitabu ambacho hakielewi .
Aliyesema muandamane jeshi litawalinda !
Huyu alisiamamia nini ?
Na anayesema OKOA MAISHA YAKO LINDA UHAI WAKO DONT PLAY SOMEONE'S GAME
Don't damage ur country, BAD LEADERS PASS BUT THE COUNTRY REMAINS.
JE KATI YA A NA B nani anasimamia ukweli
Ukiona hadi sasa hujaona hoja yangu una undumila kuwili that allLeta hoja, kama mpaka sasa hujajua nazungumia nini basi una shida pahala
Kwahiyo mtoa mada anawaokoa watu dhidi ya nini na nani?Analazimisha kusoma kitabu ambacho hakielewi .
Aliyesema muandamane jeshi litawalinda !
Huyu alisiamamia nini ?
Na anayesema OKOA MAISHA YAKO LINDA UHAI WAKO DONT PLAY SOMEONE'S GAME
Don't damage ur country, BAD LEADERS PASS BUT THE COUNTRY REMAINS.
JE KATI YA A NA B nani anasimamia ukweli
Kwahiyo mtoa mada anawaokoa watu dhidi ya nini na nani?
Nijibu wewe ulielewa kitabu chake maana yeye kashindwa kujibu
Ndumila kuwili mwingineJaribu kusoma nyuzi zinazoendana na uelewa wako mkuu .
Usikilizamishe kichwa cha samaki kubeba ndoo
This is above of ur understanding
Nahisi upo sahihiNdumila kuwili mwingine
Uzuri wake mnajisema wenyewe sasa wewe wa kunipangia cha kusoma?
Kutetea uwongo ni kazi sana maana hadi utumie bunduki la so hivyo unaumbuka asubuhi tu
Naomba nikuulize maswali kadhaa,Dawa imeanza kufanya kazi ndio maana wanapata side effects
Tutaendelea kuleta awareness kwa kila mwenye akili ajitambue na sio kufuata kila kinachosemwa bila kutafakari.
Ifike kipindi watanzania mthink big
Tarajia jibu la kihuni kuwahi kutokea pamoja na maswali yako mazuri yanayoeleweka kwa urahisi kabisaNaomba nikuulize maswali kadhaa,
1. Watu wanapotekwa, kuteswa, kubakwa hadi kuptea kabisa ila hatusikii viongozi wakuu wa nchi wenye dhamana ya kuwalinda wananchi wakichukua hatua yabkukomesha vitendo hivyo. Je, mwananchi achukue hatua gani ili aweze kupata haki yake ya kuishi huku akiendelea kutunza amani ya nchi?
2. Tume ya uchaguzi ni chombo chemye jukumu la kutenda haki ili amani iweze kutamalaki, je mwananchi achukua hatua gani pale ambapo tume ya uchaguzi inafumbia macho maafisa wake kushiriki moja kwa moja au kuwahusisha watu wasiohukika kwenye suala la uchaguzi kuingizwa kwenye vyumba vya kupigia kura, kuhesabia kura kuanza kujaza makaratasi ya kura ambazo hazijajazwa na wapiga kura wenyewe? Hizi zote ni hatua za kunyima wananchi haki, pia upelekea uvunjifu wa amani.
3. Mwananchi achukue hatua gani pale ambapo wakala wa chama fulani anakataliwa kuapishwa regardless ya kukidhi vigezo vyote ili aweze kutekeleza majukumu yake ya upatikanaji wa haki nyakati za uchaguzi, tume hawajali, vyombo vya ulinzi na usalama hawajali, mahakama hawajali....je mwananchi aendelee kulifumbia macho huyo mkurugenzi asiyetaka kutekeleza majukumu yake ya kuwaapisha mawakala wa vyama vya siasa kisa hakuna wa kumfanya chochote?
4. Kama mwananchi anatekwa ndani ya nchi yake na serikali haifanyi jitihada ya kumtafuta na kumrejesha, je mTanzania akipotea au akitekwa nje ya nchi, Serikali inaweza kweli kuunda jopo la watu kwenda kumwokoa raia wake kama wafanyavyo nchi zingine?
Maoni yangu, Serikali imekosa sifa ya kuitwa Serikali ya wananchi. Yaani wananchi wanatekwa na vikundi vya watu lakini wakuu vya vyombo vilivyopewa mamlaka wanaendelee na utumishi hewa.
Wewe kama msimamo wako ni kuitetea Amani bila kuwapigia kelele mvunjifu mkuu wa amani ambayo ni serikali, basi utakuwa sehemu ya wavunja amani yetu.
Sawa ndumila kuwiliNahisi upo sahihi
Naomba nikuulize maswali kadhaa,
1. Watu wanapotekwa, kuteswa, kubakwa hadi kuptea kabisa ila hatusikii viongozi wakuu wa nchi wenye dhamana ya kuwalinda wananchi wakichukua hatua yabkukomesha vitendo hivyo. Je, mwananchi achukue hatua gani ili aweze kupata haki yake ya kuishi huku akiendelea kutunza amani ya nchi?
2. Tume ya uchaguzi ni chombo chemye jukumu la kutenda haki ili amani iweze kutamalaki, je mwananchi achukua hatua gani pale ambapo tume ya uchaguzi inafumbia macho maafisa wake kushiriki moja kwa moja au kuwahusisha watu wasiohukika kwenye suala la uchaguzi kuingizwa kwenye vyumba vya kupigia kura, kuhesabia kura kuanza kujaza makaratasi ya kura ambazo hazijajazwa na wapiga kura wenyewe? Hizi zote ni hatua za kunyima wananchi haki, pia upelekea uvunjifu wa amani.
3. Mwananchi achukue hatua gani pale ambapo wakala wa chama fulani anakataliwa kuapishwa regardless ya kukidhi vigezo vyote ili aweze kutekeleza majukumu yake ya upatikanaji wa haki nyakati za uchaguzi, tume hawajali, vyombo vya ulinzi na usalama hawajali, mahakama hawajali....je mwananchi aendelee kulifumbia macho huyo mkurugenzi asiyetaka kutekeleza majukumu yake ya kuwaapisha mawakala wa vyama vya siasa kisa hakuna wa kumfanya chochote?
4. Kama mwananchi anatekwa ndani ya nchi yake na serikali haifanyi jitihada ya kumtafuta na kumrejesha, je mTanzania akipotea au akitekwa nje ya nchi, Serikali inaweza kweli kuunda jopo la watu kwenda kumwokoa raia wake kama wafanyavyo nchi zingine?
Maoni yangu, Serikali imekosa sifa ya kuitwa Serikali ya wananchi. Yaani wananchi wanatekwa na vikundi vya watu lakini wakuu vya vyombo vilivyopewa mamlaka wanaendelee na utumishi hewa.
Wewe kama msimamo wako ni kuitetea Amani bila kuwapigia kelele mvunjifu mkuu wa amani ambayo ni serikali, basi utakuwa sehemu ya wavunja amani yetu
Maswali ya kuweka kama UziNaomba nikuulize maswali kadhaa,
1. Watu wanapotekwa, kuteswa, kubakwa hadi kuptea kabisa ila hatusikii viongozi wakuu wa nchi wenye dhamana ya kuwalinda wananchi wakichukua hatua yabkukomesha vitendo hivyo. Je, mwananchi achukue hatua gani ili aweze kupata haki yake ya kuishi huku akiendelea kutunza amani ya nchi?
2. Tume ya uchaguzi ni chombo chemye jukumu la kutenda haki ili amani iweze kutamalaki, je mwananchi achukua hatua gani pale ambapo tume ya uchaguzi inafumbia macho maafisa wake kushiriki moja kwa moja au kuwahusisha watu wasiohukika kwenye suala la uchaguzi kuingizwa kwenye vyumba vya kupigia kura, kuhesabia kura kuanza kujaza makaratasi ya kura ambazo hazijajazwa na wapiga kura wenyewe? Hizi zote ni hatua za kunyima wananchi haki, pia upelekea uvunjifu wa amani.
3. Mwananchi achukue hatua gani pale ambapo wakala wa chama fulani anakataliwa kuapishwa regardless ya kukidhi vigezo vyote ili aweze kutekeleza majukumu yake ya upatikanaji wa haki nyakati za uchaguzi, tume hawajali, vyombo vya ulinzi na usalama hawajali, mahakama hawajali....je mwananchi aendelee kulifumbia macho huyo mkurugenzi asiyetaka kutekeleza majukumu yake ya kuwaapisha mawakala wa vyama vya siasa kisa hakuna wa kumfanya chochote?
4. Kama mwananchi anatekwa ndani ya nchi yake na serikali haifanyi jitihada ya kumtafuta na kumrejesha, je mTanzania akipotea au akitekwa nje ya nchi, Serikali inaweza kweli kuunda jopo la watu kwenda kumwokoa raia wake kama wafanyavyo nchi zingine?
Maoni yangu, Serikali imekosa sifa ya kuitwa Serikali ya wananchi. Yaani wananchi wanatekwa na vikundi vya watu lakini wakuu vya vyombo vilivyopewa mamlaka wanaendelee na utumishi hewa.
Wewe kama msimamo wako ni kuitetea Amani bila kuwapigia kelele mvunjifu mkuu wa amani ambayo ni serikali, basi utakuwa sehemu ya wavunja amani yetu.
Hatari sanakuna uhusiano kati ya uchawa na ushoga