Undumilakuwili wa JF Members

Undumilakuwili wa JF Members

Kunawakati huwa nakaribia kuamini ule Moshi wa mwenge unaweza kuwa na madhara kwa binaadam aisee .

Wakuu hivi nikweli watu wazima wenye uboo wetu timamu tunaweza kusimama hadharani nakusema wale ndugu zetu waliuwawa kutokana na kushawishiwa na wanaharakati?

Hii maana yake ni nini?

Yaani tufikie hatua ya kukubali kuwa makondoo (docile)?yaani ifike mahali hili Taifa leendeshwe kwa hisani ya fikra za wanaccm ,sindiyo?

Yaani mwandishi siyo tu hujaonyesha kusikitishwa na kilichofanywa na CCM juu ya kutoa oda ya kuua watu lakini bado anaendelea kusistiza kuwa nikosa kubwa tena zito mno kukosoa vinginevyo tutaingia kwenye mikono isiyo na huruma na hakutakuwa na wakumlalamikia .

Hii nikama kusema ameipa haki CCM kuua na kuwafanyia chochote watanzania hasa pale tu watakapokuwa wanazitumia haki zao za kikatiba .

Mbona tunakwenda kuwa mataifa lenye wapumbavu wengi sana aisee
 
View attachment 3516525

My people,​


Utangulizi:

Kwanza naomba kutoa shukrani zangu za dhati kwa members wote ambao bila kuchoka pamoja na kutukunwa na kurushiwa maneno machafu lakini bado mmesimama imara kupigania kile tunachokiamini nacho ni Tanzania yenye amani


Tuendelee kupigania kile tunachoamini ni sahihi hata kama tukiwa wachache,tujue kwamba siku zote wachache ndio huamsha chachu ya kuleta mabadiliko,

Alright let's get back to the business


Siku zote hapa jukwaani tumekuwa tukipigania uhuru wa kutoa mawazo na maoni yetu,wakati mwingine huenda mbali zaidi Kwa kulaumu mods kufuta nyuzi zetu

Lakini kwa uelewa mbaya sana baadhi yetu wanajua kuongea na kutoa maoni kwa uwazi ni dhidi ya Serikali tu,hawajui kwamba tunapo pigania uhuru wa kutoa mawazo na maoni yetu ni dhidi ya kada yoyote ile maadamu kuna jambo tunataka kuliweka sawa

Masiku kadhaa yaliyopita kuna watu walikuwa wanapush agenda ya kufanya fujo na vurugu,kuna member mmoja bwana Lord,alikuwa anapitia kila uzi na kuhamasisha kutembea na petrol na mapanga kwa ajili ya kupambana na dola

Hatukusikia member hata mmoja akilikemea hili swala,sana sana mlionnyesha kusapoti kwa namna moja au nyingine,leo hii baadhi yetu tunapush agenda ya Amani na kuwalinda vijana dhidi ya watu wenye agenda zao za siri kuhamasisha maandamano haramu, ili wao wapate kuishi hapa town huku vijana wetu wanateketea hali wao wakiwa salama

Wakiuwawa au kudhurika wanawaita wapambanaji,halafu zoezi linaendelea tena kwa kutafuta victims wengine,hii haikubaliki hata kidogo tunapinga kwa nguvu zetu zote

Watu hawa bila aibu wala haya wanalalamika kwa mods kwamba kuna watu wapigwe ban,kwasababu wanafurahia mauaji yaliyotokea 29 October 2025

Wanachojaribu kufanya ni kupotosha ukweli baada ya kuona mashambulizi yamekuwa makali sana dhidi yao kutoka kwa members ambao wamejua mchezo wao mchafu

Siku zote katika hii movement hakuna kauli hata moja iliyotolewa kuonyesha kwamba tumefurahishwa na mauji ya 29 Oct kama mna ushahidi naomba muweke risiti hapa kila mtu aone,na najua hamna kwakuwa hakukuwa na kitu kama hicho na hakutakuwa na kitu kama hicho

Kwahiyo tuache uzushi na upotoshaji, hii movement itaendelea kwa nia njema kabisa ya kuleta awareness kwa vijana ambao ndio hutumika kama chambo au kete ya kufanikisha mipango ya hawa madhalimu ambao wanataka kuichoma nchi yetu,kwa pamoja tutashinda

Mimi na wenzangu tutaendelea kukabia kwa juu sana na kupress very hard kuhakikisha adui anakosa kwa kupumilia ikiwezekana akose pumzi kabisa na kukaa chini


Mapambano bado yanaendelea

Ni hayo tu!
Jibu hoja kwa hoja, kwenye uzi huo huo.

Kuna watu wanaamini katika maandamano ya violence. Hiyo ndiyo falsafa yao.

Kama huamini hicho, jenga joja zako, katika uzi huo huo, tuchambue hoja zote.

Sasa mtu kaja na violenve zake uzi hatuuoni, unakuja kumshambulia huku hata hayupo, tutajuaje nani ana hoja za msingi bila ya huyo mtu kuwapo hapa na yeye ajibu?
 
View attachment 3516525

My people,​


Utangulizi:

Kwanza naomba kutoa shukrani zangu za dhati kwa members wote ambao bila kuchoka pamoja na kutukunwa na kurushiwa maneno machafu lakini bado mmesimama imara kupigania kile tunachokiamini nacho ni Tanzania yenye amani


Tuendelee kupigania kile tunachoamini ni sahihi hata kama tukiwa wachache,tujue kwamba siku zote wachache ndio huamsha chachu ya kuleta mabadiliko,

Alright let's get back to the business


Siku zote hapa jukwaani tumekuwa tukipigania uhuru wa kutoa mawazo na maoni yetu,wakati mwingine huenda mbali zaidi Kwa kulaumu mods kufuta nyuzi zetu

Lakini kwa uelewa mbaya sana baadhi yetu wanajua kuongea na kutoa maoni kwa uwazi ni dhidi ya Serikali tu,hawajui kwamba tunapo pigania uhuru wa kutoa mawazo na maoni yetu ni dhidi ya kada yoyote ile maadamu kuna jambo tunataka kuliweka sawa

Masiku kadhaa yaliyopita kuna watu walikuwa wanapush agenda ya kufanya fujo na vurugu,kuna member mmoja bwana Lord,alikuwa anapitia kila uzi na kuhamasisha kutembea na petrol na mapanga kwa ajili ya kupambana na dola

Hatukusikia member hata mmoja akilikemea hili swala,sana sana mlionnyesha kusapoti kwa namna moja au nyingine,leo hii baadhi yetu tunapush agenda ya Amani na kuwalinda vijana dhidi ya watu wenye agenda zao za siri kuhamasisha maandamano haramu, ili wao wapate kuishi hapa town huku vijana wetu wanateketea hali wao wakiwa salama

Wakiuwawa au kudhurika wanawaita wapambanaji,halafu zoezi linaendelea tena kwa kutafuta victims wengine,hii haikubaliki hata kidogo tunapinga kwa nguvu zetu zote

Watu hawa bila aibu wala haya wanalalamika kwa mods kwamba kuna watu wapigwe ban,kwasababu wanafurahia mauaji yaliyotokea 29 October 2025

Wanachojaribu kufanya ni kupotosha ukweli baada ya kuona mashambulizi yamekuwa makali sana dhidi yao kutoka kwa members ambao wamejua mchezo wao mchafu

Siku zote katika hii movement hakuna kauli hata moja iliyotolewa kuonyesha kwamba tumefurahishwa na mauji ya 29 Oct kama mna ushahidi naomba muweke risiti hapa kila mtu aone,na najua hamna kwakuwa hakukuwa na kitu kama hicho na hakutakuwa na kitu kama hicho

Kwahiyo tuache uzushi na upotoshaji, hii movement itaendelea kwa nia njema kabisa ya kuleta awareness kwa vijana ambao ndio hutumika kama chambo au kete ya kufanikisha mipango ya hawa madhalimu ambao wanataka kuichoma nchi yetu,kwa pamoja tutashinda

Mimi na wenzangu tutaendelea kukabia kwa juu sana na kupress very hard kuhakikisha adui anakosa kwa kupumilia ikiwezekana akose pumzi kabisa na kukaa chini


Mapambano bado yanaendelea

Ni hayo tu!
aluta kontinyua,
Kama raia wema na wazalendo kwa taifa, Tutailinda amni ya nchi yetu kwa nguvu na wivu mkubwa sana, na kwakweli kwa gharama yoyote ile.

Mungu Ibariki Tanzania,
well done gentleman:NoGodNo:
 
Ukiona mtoto analia Sana ujue kiboko kimemuingia .

Wameanza kuomba msaada kwa MOD na kufungua threads kutuita watu machawa n.k


Wanataka Uhuru wa habari na mawasiliano Ila hawataki mawazo mbadala sasa hawa wana utofauti gani hao wanaowalalamikia kuwanyima Uhuru huo .



Movement ya kumkomboa Kijana wa kitanzania lazima iendelee hatuwezi kuruhusu machafuko katika Taifa letu kwa maslahi ya watu wachache.


UKIONA MTOTO ANALIA SANA UJUE KIBOKO KIMEMUINGIA
uko sahihi gentleman,
kuwakomboa vijana kifikra ni jambo muhimu na la maana zaid hasa wakati huu pengine kuliko wakati mwingine wowote.

ni muhimu kujitolea kufanya hivyo bila kuchoka,
setbacks ziwe fursa ya kujiimarisha zaidi na kufanya vyema zaidi kazi hiyo muhimu ya kumkomboa kijana kifikra.

be blessed kwa koment mujarabu sana hiyo:NoGodNo:
 
Nyie chawa viazi mabogus pumpikin heads mbona raia wasio na hatia walivyouwawa kikatiili
Mlikuwa mnakenua meno humu mkimsifu bi chura na dola yake?

Watoto wetu wafe mlitaka tukae kimya?

Nyie pimbi viazi..
Kama tulikaa kimya kwanini nyinyi hamkukemea?

Tumekuja na movement tokomeza kuwatumia vijana mnatuita machawa
 
Maandamano ndiyo njia pekee iliyobaki lakini ikiwa tu yatafanyika kwa strategy.

Tatizo tukianza kuchoma mioto na kukiamsha kamakawa tutatengeneza upenyo wa wao kutafuta sababu ya kutudhibiti tena.

So lazima tuwe strategic.
Lasi hivyo matokeo yatajirudia.
Watu wenye busara zenu kumbe mpo sana
 
Ni mpumbavu pekee anayedhania mtu anaehitaji amani itawale nchini mwake anafaidika kwa elfu Saba...wewe na ufukara wako nikuulize pakitokea machafuko hapa una uwezo kwa kukodi private plane ikuchukue wewe na familia yako muende ulaya mkaishi...
Unagonga mule mule kichwani kama unaua nyoka vile
 
Samahani mkuu,nje ya mada. Hivi hii 'kwa wivu mkubwa' inakuwaje? Nasoma sana ila sielewi maana yake nini.
Sina uwakika kama uko serious na swali lako hope unafurahisha jukwaa

Inamaanisha tusiruhusu amani yetu ipotee au kuondoka kwahiyo tuipe umuhimu sana
 
Hao

Hao majamaa wanaamini neno lao ni Sheria. Yeyote mwenye wazo tofauti ni chawa na hana akili. Ajabu ni kwamba wanalilia uhuru wa kuropoka ovyo ila wao hawataki wengine waufurahie uhuru huo. Aibu sana. Huwa nawauliza Wana tofauti gani na Yanga ambao Huwa hawataki wazo mbadala?Badilikeni vijana.
Asante sana kwa maoni yako mazuri
 
Kwa kuwa instagram na X kuna hitaji namba ya simu, wote wamekimbia huko sababu wanajua unaweza ukajichanganya ukafungua habari ya uzushi kumbe ni mtego wa IP logger, halafu wanakufikia.
Anaetukana tukana huko ujue hayuko bongo, jichanganye ujifanye na wewe unajua yakayokukuta

Kwahiyo matusi yote yamehamia humu JF sababu ni anonymous, huo sasa ni ufisi wa hali ya juu
 
uko sahihi gentleman,
kuwakomboa vijana kifikra ni jambo muhimu na la maana zaid hasa wakati huu pengine kuliko wakati mwingine wowote.

ni muhimu kujitolea kufanya hivyo bila kuchoka,
setbacks ziwe fursa ya kujiimarisha zaidi na kufanya vyema zaidi kazi hiyo muhimu ya kumkomboa kijana kifikra.

be blessed kwa koment mujarabu sana hiyo:NoGodNo:

Safari hii tutasambaratisha Wadudu wote wanaoruka na kutambaa
 
Jukwaa hili limefungiwa na serikali yako ila ulivyo kiazi kutwa kucha upo hapa kuitetea serikali haramu iliyofungia hili jukwaa unalolitumia kuisifu serikali haramu. Sijui tukuitaje?
Hatupo kwa ajili ya serikali tupo hapa kwa ajili ya our people
 
Jukwaa hili limefungiwa na serikali yako ila ulivyo kiazi kutwa kucha upo hapa kuitetea serikali haramu iliyofungia hili jukwaa unalolitumia kuisifu serikali haramu. Sijui tukuitaje?


Hii JF sisi ndo tunaifanya iweze kuwepo na sio Serikali .

Kwahiyo msitegemee kupata huruma lazima tusambaratishe wadudu wote wanaoruka na kutambaa .

To ignore this is to ignore the decent future of our country
 
Kwaio njia pekee ni kutoka barabarani na kuchoma nyumba za watu, kuchoma magari, kuchoma biashara za watu, kuiba, kutaka kupindua serikali, kuiba ATM machines, kuchoma ofisi za serikali ..na wewe jibu bila mihemko...
Wakikujibu nitag
 
Hii JF sisi ndo tunaifanya iweze kuwepo na sio Serikali .

Kwahiyo msitegemee kupata huruma lazima tusambaratishe wadudu wote wanaoruka na kutambaa .

To ignore this is to ignore the decent future of our country
Dude you have come back jf at the right time ,big up sana unajua jinsi ya kuwanyoosha
 
Back
Top Bottom