Criss
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 1,944
- 3,090
Kunawakati huwa nakaribia kuamini ule Moshi wa mwenge unaweza kuwa na madhara kwa binaadam aisee .
Wakuu hivi nikweli watu wazima wenye uboo wetu timamu tunaweza kusimama hadharani nakusema wale ndugu zetu waliuwawa kutokana na kushawishiwa na wanaharakati?
Hii maana yake ni nini?
Yaani tufikie hatua ya kukubali kuwa makondoo (docile)?yaani ifike mahali hili Taifa leendeshwe kwa hisani ya fikra za wanaccm ,sindiyo?
Yaani mwandishi siyo tu hujaonyesha kusikitishwa na kilichofanywa na CCM juu ya kutoa oda ya kuua watu lakini bado anaendelea kusistiza kuwa nikosa kubwa tena zito mno kukosoa vinginevyo tutaingia kwenye mikono isiyo na huruma na hakutakuwa na wakumlalamikia .
Hii nikama kusema ameipa haki CCM kuua na kuwafanyia chochote watanzania hasa pale tu watakapokuwa wanazitumia haki zao za kikatiba .
Mbona tunakwenda kuwa mataifa lenye wapumbavu wengi sana aisee
Wakuu hivi nikweli watu wazima wenye uboo wetu timamu tunaweza kusimama hadharani nakusema wale ndugu zetu waliuwawa kutokana na kushawishiwa na wanaharakati?
Hii maana yake ni nini?
Yaani tufikie hatua ya kukubali kuwa makondoo (docile)?yaani ifike mahali hili Taifa leendeshwe kwa hisani ya fikra za wanaccm ,sindiyo?
Yaani mwandishi siyo tu hujaonyesha kusikitishwa na kilichofanywa na CCM juu ya kutoa oda ya kuua watu lakini bado anaendelea kusistiza kuwa nikosa kubwa tena zito mno kukosoa vinginevyo tutaingia kwenye mikono isiyo na huruma na hakutakuwa na wakumlalamikia .
Hii nikama kusema ameipa haki CCM kuua na kuwafanyia chochote watanzania hasa pale tu watakapokuwa wanazitumia haki zao za kikatiba .
Mbona tunakwenda kuwa mataifa lenye wapumbavu wengi sana aisee
