Kama unajiika kwena msalani nenda kwanza. Eti kimbilio la wanyonge? Mnyonge nani Vincent au sugu, ungesema kimbilio la wabaguzi na wafitini na wauaji wa wangwe ningesema sawa. Hawa mimi Nina Ushahidi Ndio walimwua chacha wangwe. Pole.
Hawa wana cuf wana matatizo humu ndani wanashindwa hata kuitangaza cafu kazi yao ni porojo tu