- Thread starter
- #441
Ombi langu kwa wajumbe wa mkutano mkuu mpeni Freeman Mbowe kura zote za NDIYO.
Hatutawaelewa kabisa endapo kama Freeman Mbowe ushindi wake utakuwa wa chini ya asilimia 100%
Hao wahuni waliotumwa na CCM kugombea naye hata wakipata kura 1 watajitapa.
Msiwape nafasi ya kupumua vibaraka hao.Wapate kura 0 ili iwe salaam tosha kwa mabwana zao.
Hatutawaelewa kabisa endapo kama Freeman Mbowe ushindi wake utakuwa wa chini ya asilimia 100%
Hao wahuni waliotumwa na CCM kugombea naye hata wakipata kura 1 watajitapa.
Msiwape nafasi ya kupumua vibaraka hao.Wapate kura 0 ili iwe salaam tosha kwa mabwana zao.