Undani wa Freeman Mbowe na Dr Wilbroad Slaa

Undani wa Freeman Mbowe na Dr Wilbroad Slaa

LIKE tu haitoshi..! Nadiriki kusema uchambuzi wako ni mwiba mchungu kwa wasioitakia mema CHADEMA!!

Hakuna chama makini kinachoweza kusambaratishwa kwa kelele za wenye nia mbaya tena kupitia mitandao ya kijamii.

Hili nalo litapita na kuiacha CHADEMA kikiwa imara sana!
CCM itafute njia nyingine lakini hii ya kutumia mamluki wachumia tumbo ishabainika!
 
LIKE tu haitoshi..! Nadiriki kusema uchambuzi wako ni mwiba mchungu kwa wasioitakia mema CHADEMA!!

Hakuna chama makini kinachoweza kusambaratishwa kwa kelele za wenye nia mbaya tena kupitia mitandao ya kijamii.

Hili nalo litapita na kuiacha CHADEMA kikiwa imara sana!
CCM itafute njia nyingine lakini hii ya kutumia mamluki wachumia tumbo ishabainika!

Asante sana Kamanda!
 
Umoja huu wa Mbowe na Slaa na jinsi walivyo jipanga unawanyima magamba usingizi. Ni imani yangu na nahisi ni kweli kabisa kuwa katika vikao vya CCM vingi ni jinsi ya kusambaratisha chadema badala ya kutumia siasa kukabiliana na kasi ya chadema ama upinzani. Kwa hili CCM haina budi kulaumiwa kwa kugandamiza demokrasia. Nahisi ningewashauri CCM wasifanye juhudi kuuwa vyama vya upinzani bali wabuni mbinu za kukabiliana nazo kisiasa. Ushindani wa kweli wa kisiasa hauwezi kuletea nchi machafuko na ndio siasa iliopo bara uropa na marekani. Kudumisha demokrasia ndio njia sahihi ya kuleta maridhiano ya siasa katika nchi lakini ikiwa siasa ya chama tawala ni kuona upinzani unakufa, matokeo yake ni mabaya make kundi kubwa wasiokubaliana na sera za chama tawala wataona kuwa kuunda chama na kushiriki katika siasa ya ushindani si njia bora ya kukabiliana na watawala badala yake watatumia njia nyingine ya kuelezea hisia zao tofauti ikiwa ni pamoja na kwenda msituni. Natamani CCM wasihangaike kuuwa upinzani badala yake ikuze demokrasia kwa kukabiliana nazo kisiasa.
 
Naunga Mkono hoja kwa asilimia Miamoja na nachangia zaidi kwamba kwa maoni yangu;

1.Wakati wa uundaji wa misingi waepuke kabisa utaratibu wa CCM wa wagombea kugeuka wafadhili wa CHAMA katika ngazi husika jambo linalo athiri uwezo wa wanachama kujitambua na kuelewa jukumu la ukombozi na uhusika wao kwa kila mmoja katika kukijenga CHAMA na kugeuka kuwa ombaomba,wapiga dili za kitapeli kwa kuwagonganisha wagombea

2.Kuwakataa katika hali zote watu wanaojitokeza kwa kuibuka kiujanjaujanja na kutaka kugombea nafasi za viongozi hasa baada ya kuona kwamba hawana nafasi ya kupitishwa kwenye vyama vyao sasa wanaamua kukimbili CHADEMA si kwasababu ya kupenda itikadi ya CHAMA bali tamaa za madaraka ,ukubwa na pesa jambo linaloathiri CHAMA na kuharibu mikakakti na taswira ya CHAMA katika Jamii ya Tanzania.

3.Kuhakikisha wagombea mbalimbali wanaandaliwa kwa utaratibu maalum wa kuwachunguza watangaza nia na kuona uthabiti wao na kujitoa kwao kwa chama Kabla na baada ya kutangaza nia pamoja na uadilifu wao kwa jamii.Wote watakao onekana kutafuta uongozi kiccm ccm wapigwe chini.

4.Kuhakikisha kwamba wanatoa nafasi shirikisha na mafunzo maalum kwa potential candidates WA CHAMA na kuhakikisha kwamba chama kina jijenga na kujumuisha Taswira ya wanajamii wote katika ngazi zote na siyo watu wa Rika moja tu kujiona kuwa bora,wachapakazi na wenye haki zaidi katika CHAMA.

5.Kuhakikisha kwamba kunakuwa na uratibu mzuri wa M4C katika Kanda na kuwa na mikakati endelevu ya Kichama inayotekelezeka kuelekea matukio yote muhimu ya Kitaifa ambayo chama kinaamini kuwa na Maslahi nayoa mf. Kura za Maoni kuhusu katiba Mpya,Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu.

6.Kuimamarisha na kueneza elimu ya Uraia na Uzalendo kwa wananchi pamaoja na wananchama wote wa CDM.

7.Kuweka Mkakati maalum wa kuhakikisha wapenzi ,wanachama na marafiki wote wa Chama wanajiandikisha katika Dftari la kudumu la Mpiga kura na kutunza shahada yao na kuandaliwa uhamasishaji wa kujitokeza kupiga kura ususan kwa Kizazi kipya ambacho hakitaki hata kusikia Jina la CCM likitajwa.
 
Naunga Mkono hoja kwa asilimia Miamoja na nachangia zaidi kwamba kwa maoni yangu;

1.Wakati wa uundaji wa misingi waepuke kabisa utaratibu wa CCM wa wagombea kugeuka wafadhili wa CHAMA katika ngazi husika jambo linalo athiri uwezo wa wanachama kujitambua na kuelewa jukumu la ukombozi na uhusika wao kwa kila mmoja katika kukijenga CHAMA na kugeuka kuwa ombaomba,wapiga dili za kitapeli kwa kuwagonganisha wagombea

2.Kuwakataa katika hali zote watu wanaojitokeza kwa kuibuka kiujanjaujanja na kutaka kugombea nafasi za viongozi hasa baada ya kuona kwamba hawana nafasi ya kupitishwa kwenye vyama vyao sasa wanaamua kukimbili CHADEMA si kwasababu ya kupenda itikadi ya CHAMA bali tamaa za madaraka ,ukubwa na pesa jambo linaloathiri CHAMA na kuharibu mikakakti na taswira ya CHAMA katika Jamii ya Tanzania.

3.Kuhakikisha wagombea mbalimbali wanaandaliwa kwa utaratibu maalum wa kuwachunguza watangaza nia na kuona uthabiti wao na kujitoa kwao kwa chama Kabla na baada ya kutangaza nia pamoja na uadilifu wao kwa jamii.Wote watakao onekana kutafuta uongozi kiccm ccm wapigwe chini.

4.Kuhakikisha kwamba wanatoa nafasi shirikisha na mafunzo maalum kwa potential candidates WA CHAMA na kuhakikisha kwamba chama kina jijenga na kujumuisha Taswira ya wanajamii wote katika ngazi zote na siyo watu wa Rika moja tu kujiona kuwa bora,wachapakazi na wenye haki zaidi katika CHAMA.

5.Kuhakikisha kwamba kunakuwa na uratibu mzuri wa M4C katika Kanda na kuwa na mikakati endelevu ya Kichama inayotekelezeka kuelekea matukio yote muhimu ya Kitaifa ambayo chama kinaamini kuwa na Maslahi nayoa mf. Kura za Maoni kuhusu katiba Mpya,Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu.

6.Kuimamarisha na kueneza elimu ya Uraia na Uzalendo kwa wananchi pamaoja na wananchama wote wa CDM.

7.Kuweka Mkakati maalum wa kuhakikisha wapenzi ,wanachama na marafiki wote wa Chama wanajiandikisha katika Dftari la kudumu la Mpiga kura na kutunza shahada yao na kuandaliwa uhamasishaji wa kujitokeza kupiga kura ususan kwa Kizazi kipya ambacho hakitaki hata kusikia Jina la CCM likitajwa.
Umenena vyema kajunjuMELE, hii thread ni ya siku nyingi hapa JF na imebeba maoni ya watanzania walio wengi.
Ushirikiano wa Dr.W.Slaa na freeman MBOWE,wabunge wa CDM,kamati/baraza kuu,viongozi wa kanda n.k umeifanya CDM iendelee kukua siku hadi siku,
 
Last edited by a moderator:
Umoja huu wa Mbowe na Slaa na jinsi walivyo jipanga unawanyima magamba usingizi. Ni imani yangu na nahisi ni kweli kabisa kuwa katika vikao vya CCM vingi ni jinsi ya kusambaratisha chadema badala ya kutumia siasa kukabiliana na kasi ya chadema ama upinzani. Kwa hili CCM haina budi kulaumiwa kwa kugandamiza demokrasia. Nahisi ningewashauri CCM wasifanye juhudi kuuwa vyama vya upinzani bali wabuni mbinu za kukabiliana nazo kisiasa. Ushindani wa kweli wa kisiasa hauwezi kuletea nchi machafuko na ndio siasa iliopo bara uropa na marekani. Kudumisha demokrasia ndio njia sahihi ya kuleta maridhiano ya siasa katika nchi lakini ikiwa siasa ya chama tawala ni kuona upinzani unakufa, matokeo yake ni mabaya make kundi kubwa wasiokubaliana na sera za chama tawala wataona kuwa kuunda chama na kushiriki katika siasa ya ushindani si njia bora ya kukabiliana na watawala badala yake watatumia njia nyingine ya kuelezea hisia zao tofauti ikiwa ni pamoja na kwenda msituni. Natamani CCM wasihangaike kuuwa upinzani badala yake ikuze demokrasia kwa kukabiliana nazo kisiasa.

Na ndiyo maana wanachama wengi wameamua kwa dhati kwamba liwalo na liwe ni lazima mafahali hawa waendelee kuongoza Chadema.
 
Na ndiyo maana wanachama wengi wameamua kwa dhati kwamba liwalo na liwe ni lazima mafahali hawa waendelee kuongoza Chadema.

Tusidanganyane wanachama gani???alioamua uchaguzi Usifanyike ktk muda muliokubaliama ni BABA MKWE MTEI,Endelea kutumika lakini jamaa yako wa MBEYA amepigwa kama mwizi Arusha.Nawewe siku ukipishana nao mawazo hao wa KANDA unao waramba Unyao,watakunanihi.........
 
Naunga Mkono hoja kwa asilimia Miamoja na nachangia zaidi kwamba kwa maoni yangu;

1.Wakati wa uundaji wa misingi waepuke kabisa utaratibu wa CCM wa wagombea kugeuka wafadhili wa CHAMA katika ngazi husika jambo linalo athiri uwezo wa wanachama kujitambua na kuelewa jukumu la ukombozi na uhusika wao kwa kila mmoja katika kukijenga CHAMA na kugeuka kuwa ombaomba,wapiga dili za kitapeli kwa kuwagonganisha wagombea

2.Kuwakataa katika hali zote watu wanaojitokeza kwa kuibuka kiujanjaujanja na kutaka kugombea nafasi za viongozi hasa baada ya kuona kwamba hawana nafasi ya kupitishwa kwenye vyama vyao sasa wanaamua kukimbili CHADEMA si kwasababu ya kupenda itikadi ya CHAMA bali tamaa za madaraka ,ukubwa na pesa jambo linaloathiri CHAMA na kuharibu mikakakti na taswira ya CHAMA katika Jamii ya Tanzania.

3.Kuhakikisha wagombea mbalimbali wanaandaliwa kwa utaratibu maalum wa kuwachunguza watangaza nia na kuona uthabiti wao na kujitoa kwao kwa chama Kabla na baada ya kutangaza nia pamoja na uadilifu wao kwa jamii.Wote watakao onekana kutafuta uongozi kiccm ccm wapigwe chini.

4.Kuhakikisha kwamba wanatoa nafasi shirikisha na mafunzo maalum kwa potential candidates WA CHAMA na kuhakikisha kwamba chama kina jijenga na kujumuisha Taswira ya wanajamii wote katika ngazi zote na siyo watu wa Rika moja tu kujiona kuwa bora,wachapakazi na wenye haki zaidi katika CHAMA.

5.Kuhakikisha kwamba kunakuwa na uratibu mzuri wa M4C katika Kanda na kuwa na mikakati endelevu ya Kichama inayotekelezeka kuelekea matukio yote muhimu ya Kitaifa ambayo chama kinaamini kuwa na Maslahi nayoa mf. Kura za Maoni kuhusu katiba Mpya,Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu.

6.Kuimamarisha na kueneza elimu ya Uraia na Uzalendo kwa wananchi pamaoja na wananchama wote wa CDM.

7.Kuweka Mkakati maalum wa kuhakikisha wapenzi ,wanachama na marafiki wote wa Chama wanajiandikisha katika Dftari la kudumu la Mpiga kura na kutunza shahada yao na kuandaliwa uhamasishaji wa kujitokeza kupiga kura ususan kwa Kizazi kipya ambacho hakitaki hata kusikia Jina la CCM likitajwa.

Mawazo mazuri sana ambayo nakuahidi yatafanyiwa kazi...

CC Tumaini Makene Mohamedi Mtoi Ben Saanane.
 
Last edited by a moderator:
Umenena vyema kajunjuMELE, hii thread ni ya siku nyingi hapa JF na imebeba maoni ya watanzania walio wengi.
Ushirikiano wa Dr.W.Slaa na freeman MBOWE,wabunge wa CDM,kamati/baraza kuu,viongozi wa kanda n.k umeifanya CDM iendelee kukua siku hadi siku,

Msimamo wa wanachama kwa sasa uko wazi kabisa kwamba bila Dr Slaa na Freeman Mbowe kuongoza Chadema basi kuingia Ikulu ni sawa na Ngamia kupenya kwenye tundu la sindano!
 
Last edited by a moderator:
Hakuna kipengele kwenye katiba ya CDM kinachosema urais utagombewa na mwenyekiti, sioni kwanini uandike eti Mbowe anastahili credit kwa kumwachia Dr Slaa kugombea urais. Hiki ni chama cha kidemokrasia, hivyo mwaka 2015 mwanachama yeyote anayejiona anazo sifa za kuongoza nchi hii, ruksa kuchukua fomu. Hatutaki yaanze kujengwa mazingira ambapo mwanachama tofauti na hawa tuliowazoea akichukua fomu ataonekana msaliti au mamluki. Tuache demokrasia iamue nani atatufaa.
Shida yako ni kuwa mgumu wa kuelewa mtoa mada anasema "kulingana na utaratibu wa wanasiasa wengi wa Afrika mwenyekiti wa chama ndie rais wa nchi"
 
Tusidanganyane wanachama gani???alioamua uchaguzi Usifanyike ktk muda muliokubaliama ni BABA MKWE MTEI,Endelea kutumika lakini jamaa yako wa MBEYA amepigwa kama mwizi Arusha.Nawewe siku ukipishana nao mawazo hao wa KANDA unao waramba Unyao,watakunanihi.........

Toa utumbo wako hapa.cdm haiwezi kuchaguliwa viongozi na magamba, full stop
 
ùmeeleza vema lakini sio vijana wote wanaowaheshimu,na kwenye mifano yako mtoe Zitto.Huyu anajiona ana àkili kuliko mtu yeyote ndani ya chama na hata ndani ya nchi
 
Kwa mtazamo wangu, Zitto ndiye aliitoa chadema kutoka chama kidogo kuwa kikubwa, si Mbowe wala Slaa.
 
Last edited by a moderator:
ùmeeleza vema lakini sio vijana wote wanaowaheshimu,na kwenye mifano yako mtoe Zitto.Huyu anajiona ana àkili kuliko mtu yeyote ndani ya chama na hata ndani ya nchi
 
ùmeeleza vema lakini sio vijana wote wanaowaheshimu,na kwenye mifano yako mtoe Zitto.Huyu anajiona ana àkili kuliko mtu yeyote ndani ya chama na hata ndani ya nchi

Mkuu samahani sana kwa kukwazika.

Hii mada niliiandika tangia mwaka jana karibu miaka miwili sasa inapita.Na tabia za huyo uliyemtaja zilikuwa hazijajipambanua kama hivi...
 
Molemo, mwaka 2012 ulipobandika thread hii, ulizungumza kinabii, na maadui wa CDM ndicho wanachopigania ili kuwatenganisha Dk Slaa na Mbowe, kumbe mikakati ya kumchafua na propaganda dhidi ya Dk Slaa, na hata wafadhili wa PM 7 na waungaji mkono wa Zitto kutoka Lumumba Team na CDM, na mitafaruku inayotokea sasa ni nia ovu ya kuisambaratisha CDM.
 
Kwa mtazamo wangu, Zitto ndiye aliitoa chadema kutoka chama kidogo kuwa kikubwa, si Mbowe wala Slaa.

Nakubaliana na wewe kwamba ni kwa mtazamo wako!
Na si mtazamo tu bali hata na "IMANI" yako ndivyo ilivyo kwake!
Mimi naamini kazi ya ZZK huku CHADEMA,...
Swali ni je, kuna nini hadi CCM wafurahie kazi ya kuimarika kwa upinzani?!
Haya ni mapenzi ya PAKA kwa PANYA
 
Back
Top Bottom