mbowe ni shujaa kwa sababu amefanikiwa kutumia ujinga wa watanzania na umaskini wao kwa maslahi yake binafsi kama kuwaandamanisha watanzania na kuwapiga picha na mwisho wasiku huenda kulamba pesa kwa wahisani wa nje na ndani ya nchi
Duh! Wewe ni kiboko. Thread nzima wewe ndo kinara. Kwani unafikriwenginbhwana michango? Tafkari, chukua hatua.
Duh! Wewe ni kiboko. Thread nzima wewe ndo kinara. Kwani unafikriwenginbhwana michango? Tafkari, chukua hatua.
Mkuu huyo jamaa anarukia kila.pointi ya mtu.Huyo ni gamba la kobe.
Wee masaburi, hivi Mwanza, Mbeya, Kigoma, Shinyanga, Simiyu, Geita, Mtwara, Singida kwa Mchumi Daraja la 6, Katavi, Kagera na kwingineko ambako si tu CDM wana wanachama lukuki bali pia kuna wabunge wa Bunge la JMT wanatokea huko bado nako ni Kaskazini kama unavyotaka kutuamnisha hapa? Anyway, labda umevimbiwa futari hivyo siyo kosa lako!kadi ziko kilimanjaro na arusha kwani wewe unatoka mkoa gani?
Dr Barubaru,
Hakuna wa kukujibu ilo swali hata huyu muanzisha hii thread ambae anasema Mbowe na Slaa, wameleta demokrasia ndani ya Chadema hawezi kujibu.
Jibu lao kubwa wanakuambia angalia namba ukiwauliza mmetumia njia gani kupata hizo namba hawasemi.
Ukiangalia hiyo orodha ya wanawake 40 wanawake 15 ni wenyeji wa mkoa wa Kilimanjaro.
Namba kwa ndio kigezo kikuu cha demokrasia.
nyingine ni kurudisha gari la serikali kwa mbwembwe na waandishi wa habari na kulichukua tena kimya kimya
pia lazima wajivunie kuwaajili wakaskazini pale makao makuu mpaka madereva na kuwahadaa watanzania wengine.
Kwa kweli kila nikisoma huu uzi wa fmpiganaji ninapata nguvu ni kwanini CDM inapendwa na watanzania.
Kwa ujuaji wangu kuhusiana na watu hawa wawili kwenye Thready hii inayowahusu Muheshimiwa Mbowe na Dr. Slaa ni kua watu hawa wanashabihiana sana hembu cheki hapa:
- Mbowe na Dr. Slaa ni wacha Mungu.
- Wanawajali na kuwastahi watu.
- Wanapenda haki na kuwajali wanyonge.
- Wanaijua na kuitetea katiba ya nchi na sheria ambayo wanataka ifanyiwe marekebisho kwa maslahi ya Watanzania wote.
- Ni wakweli wa maneno na vitendo.
- Wanashirikiana na Watanzania wote bila ubaguzi.
- Wanauwezo wakuongoza kwa upeo na upana.
- Wanapenda amani na utulivu.
- Ni waadilifu na wachapa kazi.
- Wanalipenda taifa lao.
Wakati mwingine mnatutia kichefuchefu mnapompa mtu sifa ambayo hana hata chembe,na hasa sifa ya UchaMungu! Unazijua sifa na dalili za wachaMungu au unasema tu ilimradi umesema. Slaa kuzini na kuzaa nje ya ndoa ndio ucha Mungu kwa upande wako?
Mbowe ana uchaMungu gani,au kutumia fedha zake kuhadaa vijana waganga njaa waandamane na kufanya vurugu na kuwadanganya watapata maisha bora bila kufanya kazi? Isitoshe huu utajiri wa Mbowe mnaobabaika nao umejaa utata mtupu,hela zilizotokana na udhalimu na wa baba yake ndio mnaita utajiri!!.....
Rekebisha kauli yako,CDM haipendwi na watanzania,bali inapendwa na baadhi ya watanzania.
Mbona sioni utafiti uliozungumzia bali wasifu na kupiga debe
Wakati mwingine mnapompa mtu sifa ambayo hana hata chembe,na hasa sifa ya UchaMungu! Unazijua sifa na dalili za wachaMungu au unasema tu ilimradi umesema. Slaa kuzini na kuzaa nje ya ndoa ndio ucha Mungu kwa upande wako?
Mbowe ana uchaMungu gani,au kutumia fedha zake kuhadaa vijana waganga njaa waandamane na kufanya vurugu na kuwadanganya watapata maisha bora bila kufanya kazi? Isitoshe huu utajiri wa Mbowe mnaobabaika nao umejaa utata mtupu,hela zilizotokana na udhalimu na wa baba yake ndio mnaita utajiri!!
Vipi hoja ya kudai marekebisho ya katiba mpya imekuwaje tena ya Slaa na Mbowe? Hakuna viongozi wengine wa Siasa waliodai marekebisho ya katiba mpya zaidi ya slaa na mbowe!!!! Au kwa kuwa mme-lobby media ndio maana unadhani hiyo yatosha kutudanganya?
Hii amani wanayoipenda slaa na mbowe ni amani ipi,au kuchochea vurugu zilizopelekea vifo vya watu wasio na hatia kule Arusha? Unadhani kama Chadema wako nje ya dola wana nguvu ya kufanya umafia kiasi hichi(kama mauaji ya Singida,kifo cha Chacha Wangwe),siku wakishika dola watakuwaje!
Acheni kutuchezea akili zetu tafadhali sana. Tafuta sifa nyingine za kuwapa na sio hizi ulizoeleza hapa,na hasa hiyo ya uchaMungu ndio umenipa kichefuchefu kabisa.