Undani wa Freeman Mbowe na Dr Wilbroad Slaa

Undani wa Freeman Mbowe na Dr Wilbroad Slaa

it is same politic is like a game awe mbowe slaha au wah.watukufu wa ccm swali moja kiuchumi tz ni wa ngapi ktk dunia au hapa afrika. kuongea,mikutano na mipango, namba 1. Politic in tz=games let me start kwa moyo mmoja ccm wapumzike tujaribu ukurasa mwingine.wadau nipeni kura muone.Ikiwa tutaruhusiwa wagombea binafsi.
 
it is same politic is like a game awe mbowe slaha au wah.watukufu wa ccm swali moja kiuchumi tz ni wa ngapi ktk dunia au hapa afrika. kuongea,mikutano na mipango, namba 1. Politic in tz=games let me start kwa moyo mmoja ccm wapumzike tujaribu ukurasa mwingine.wadau nipeni kura muone.Ikiwa tutaruhusiwa wagombea binafsi.

Acha vichekesho mkuu? Mambo yote ni Kamanda Mbowe na Shujaa Slaa.
 
Hakika umefanya analysis nzuri.


hakika cdm tuna mwenyekiti mwenye msimamo mkali usioyumba, ni kati ya wafanyabiashara wachache sana walioingia kwenye siasa bila kuogopa kuaribiwa na ccm angekuwa legelege tusingekuwa hapa leo hii..binafsi napenda kumpongeza mwenyekiti zaidi
 
Kama unajiika kwena msalani nenda kwanza. Eti kimbilio la wanyonge? Mnyonge nani Vincent au sugu, ungesema kimbilio la wabaguzi na wafitini na wauaji wa wangwe ningesema sawa. Hawa mimi Nina Ushahidi Ndio walimwua chacha wangwe. Pole.
 
Kama unajiika kwena msalani nenda kwanza. Eti kimbilio la wanyonge? Mnyonge nani Vincent au sugu, ungesema kimbilio la wabaguzi na wafitini na wauaji wa wangwe ningesema sawa. Hawa mimi Nina Ushahidi Ndio walimwua chacha wangwe. Pole.

Kibaraka wa Mafisadi..
 
hakika umekuwa critical thinker mzr.u deserve to be jf member and never stop revealing the truth.tz ya leo na kesho itajengwa na wenye moyo wa uzalendo.hata safar ya waisrael kwenda nchi ya kanan ilikuwa na vikwazo ambavyo ni sawa na magamba wa ccm.tusiwajal,tuwapuuze kwan wao wana interest ndan ya sisiem nas tunahtaj mabadiliko.aluter continuer,kaza mwendo 2015 c mbal.congrats!
 
Wangwe si aliuawa na tiss kwa maelekezo toka ccm baada ya yeye kuonesha nia ya kufichua siri na mahali alipofichwa Daudi Balali?.
Kama unajiika kwena msalani nenda kwanza. Eti kimbilio la wanyonge? Mnyonge nani Vincent au sugu, ungesema kimbilio la wabaguzi na wafitini na wauaji wa wangwe ningesema sawa. Hawa mimi Nina Ushahidi Ndio walimwua chacha wangwe. Pole.
 
hakika umekuwa critical thinker mzr.u deserve to be jf member and never stop revealing the truth.tz ya leo na kesho itajengwa na wenye moyo wa uzalendo.hata safar ya waisrael kwenda nchi ya kanan ilikuwa na vikwazo ambavyo ni sawa na magamba wa ccm.tusiwajal,tuwapuuze kwan wao wana interest ndan ya sisiem nas tunahtaj mabadiliko.aluter continuer,kaza mwendo 2015 c mbal.congrats!

Hakika hili bandiko halichuji.Kila siku linakuwa jipya.
 
WanaJF
Nimelikumbuka bandiko langu hili nililolileta hapa Jamvini karibu mwaka mmoja uliopita.

Kutokana na mjadala ulioletwa hapa jamvini na Ben Saanane na unaoshika kasi muda huu unaohusiana na usaliti wa Zitto Kabwe kwa chama chake mnaweza kuona nilichokiandika hapa kwamba Maadui wa CDM wanatafuta kila njia kuwagombanisha mafahali wawili wa chama hiki Dr Slaa na Mbowe.Wanajua ukishawatenganisha umeshasambaratisha chama.

Freeman Mbowe na Dr Wilbroad Slaa wanahitaji TUZO kwa uvumilivu wao kwa maslahi ya chama na Taifa.
 
Last edited by a moderator:
1. yeyote atakayepuuza mafaniko ya chadema chini ya mbowe ni MPUUZI.
2. Yeyote atakayepuuza mvuto wa chadema chini ya Dr. Slaa hana AKILI.
3. Nadhani hakutakuwa na mabadiliko kwa nafasi za uenyekiti na ukatibu. mabadiliko yatakuwa kwenye umakamu na unaibu na sekretariat.
 
Hata kwa kuandika tu unaweza kutoa mchango mkubwa sana kukijenga chama. Kuwapa matumaini viongozi ni njia ya kuimarisha na kuendeleza mapambao. Safi mkuu
 
Nimelipenda sana bandiko hili.Hakika halichuji.Anayetaka kuvuruga Chadema ameshachelewa sana.
 
1. yeyote atakayepuuza mafaniko ya chadema chini ya mbowe ni MPUUZI.
2. Yeyote atakayepuuza mvuto wa chadema chini ya Dr. Slaa hana AKILI.
3. Nadhani hakutakuwa na mabadiliko kwa nafasi za uenyekiti na ukatibu. mabadiliko yatakuwa kwenye umakamu na unaibu na sekretariat.

DADY IGOGO Nashukuru umeunga mkono hoja yangu.
Freeman Mbowe ni kiongozi mvumilivu,mstaarabu na mwenye busara za hali ya juu,Dr Wilbroad Slaa ni kiongozi mchapakazi na mtendaji asiye na kipimo kwa Tanzania.
Ni mwendawazimu tu anayeweza kusema viongozi hawa wabadilishwe.Ni lazima CDM wajue viongozi hawa hawapaswi kuguswa kwenye uchaguzi ndani ya chama.Huo ndiyo ukweli uliyo uchi ingawa kwa mamluki ni ukweli mchungu.
 
Last edited by a moderator:
Hata kwa kuandika tu unaweza kutoa mchango mkubwa sana kukijenga chama. Kuwapa matumaini viongozi ni njia ya kuimarisha na kuendeleza mapambao. Safi mkuu

Asante mzamifu kwa kuuona mchango wangu.
 
Last edited by a moderator:
Kama unajiika kwena msalani nenda kwanza. Eti kimbilio la wanyonge? Mnyonge nani Vincent au sugu, ungesema kimbilio la wabaguzi na wafitini na wauaji wa wangwe ningesema sawa. Hawa mimi Nina Ushahidi Ndio walimwua chacha wangwe. Pole.

Hawa wana cuf wana matatizo humu ndani wanashindwa hata kuitangaza cafu kazi yao ni porojo tu
 
Back
Top Bottom