mavangahistor
Member
- Oct 14, 2011
- 7
- 0
mbowe ni shujaa kwa sababu amefanikiwa kutumia ujinga wa watanzania na umaskini wao kwa maslahi yake binafsi kama kuwaandamanisha watanzania na kuwapiga picha na mwisho wasiku huenda kulamba pesa kwa wahisani wa nje na ndani ya nchi