jamani naomba mniwie radhi, huu wimbo siupendi ila enzi hizo tulikuwa tunauimba kwa furaha zoooooteeee
"Chama chetu cha Mapinduzi chajenga nchi, chama chetu cha mabwepande (jamani typing error, afu kifutio cha computer yangu kimeisha sababu ya kufuta sana) chajenga nchi "
Nyerere aaaaaaaah na Mwinyi wanajenga nchi x2
basi ikitokea kama Mwalimu Nyerere katembelea wilayani kwetu, tunapanga mistari tunaimbaje huo wimbo kwa nguvu kweli na jua kali likiwa linatupiga!!!!!!!!!
"I WROTE A LETTER TO MY DARLING, BUT SHE DIDIN'T ANSWER NO. I DON'T KNOW WHY SHE DIDIN'T! x2. WHO IS KNOCKING AT THE DOOR, SISTER IS KNOCKING AT THE DOOR, DARLING IS KNOCKING AT THE DOOR, I KNOW!"
itv ndio imeanza mwaka 94, tunaimba class wanawake kuweni wenye furaha, na raha, wakai wote, popote na jessy!
jessy, pedi mpya za kike za jessy, ni nyororo raha kuvaa na kupa kinga thabiti.
wakati wote, popote, na hazina mikanda!
khaaaaaaaaaaaaa! mwalmu akitusikia ni kupiga magoti juani lol! we used kuenjoy!
Hi guys,
me naukumbuka huu, "hesabu ni nzuri sana weeee mwalimu nifundishe siwezi kusahau ee mwalimu ee mwalimu nifundishe"
mwingine "a e i o u hizi ni herufi kuu, tamka kwa sauti kuu, hizi a e i o u"
unazikumbuka nyingine??????????
tulikuwa tunakatikaje hapo sasa, je ule wa kuruka kamba wa ngurumo, ngurumo, mpaka maputo, sanda na ikweta mamaa ikwetaeee, aineme, ainuke, ainame salome........... nimesahau yeuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii tulikuwa tunapigwa na mama kila siku kuchelewa kurudi tuition ya mwalimu mndolwa mlimani primary! khaaaaaaaaa! kuruka kamba! we had some good times kwa kweli. morning chit chatters, morning my sugar Asprin!
mulemule besti! Looool! Long time sanaaaaa!hii kitu umenikumbusha mbali sana.....kama sikosei mtiririko ulikuwa kama ilivyo hapo chini; ambapo kuruka upande mmoja mara tatu halafu unaruka tena upande wa pili;
ngurumo ngurumo,
hadi maputo,
isanga ikweta mamaa,
ikweta eeeh,
ainaame,
ainuuke,
ainame salome sakina malembe,
sure vaa lubega shika usinga tucheze zembwela,
anatoa madoido kama hutaki sogea mbele.....
hujambo cheupe?