Sasa tuna wahesabu
walio kufa kwa tabu
bila hata matibabu
walio kufa kwa tabu duniani
tom mboya wa Kenya
si kiongozi mbaya
kala risasi ya taya
maharamia wabaya
wala hawaoni haya kumuua
wana kifungo cha maisha gerezeni
wananchi ndg zangu mwasikia
maneno yalivyo semwa majuzi huko uganda
maiti nao husema aaaa
wacha tanzania utaitambuaaa
na maiti si mwingine ni amini
amini kapiga ngoma Gaddafi kaimba wimbo
maiti nayo husema aaah
wacha tanzania utaitambua
walio kufa kwa tabu
bila hata matibabu
walio kufa kwa tabu duniani
tom mboya wa Kenya
si kiongozi mbaya
kala risasi ya taya
maharamia wabaya
wala hawaoni haya kumuua
wana kifungo cha maisha gerezeni
wananchi ndg zangu mwasikia
maneno yalivyo semwa majuzi huko uganda
maiti nao husema aaaa
wacha tanzania utaitambuaaa
na maiti si mwingine ni amini
amini kapiga ngoma Gaddafi kaimba wimbo
maiti nayo husema aaah
wacha tanzania utaitambua