Sivipendi balaa, kwanza ukikaa maana yake haujisaidii vizuri maana miguu haijafunguka vizuri mzigo utoke, mzigo unakugusa gusa, yaak! mi nikikutaga hivyo vyoo sipotezi muda nakanyaga kwenye kingo na pia naweka toileti pepa za kutosha ndani ili maji yasinirukie kisha nachuchumaa. Ila inasemekana kilivunjika wakati umekikanyaga kinaweza kukukata vibaya miguu, ila Sipendagi ujinga. Nyumba nazoishi pia aina ya choo huwa ni kipaumbele, vya kukaa huwa naachana na nyumba.Hakuna vyoo nsivyovipenda kama hivyo, kwnza huwa nakosa 'confortability'
Kwahio una choo cha shimo nyumbani kwako? Nahisi ni makuzi kama umekulia choo cha shimo cha kukaa hukiwezi.Hata mie sivipendi na huwa napata shida mno kuvitumia
Kuna tissue na maji, wewe tu.Hivi kujisafisha kwenye hivi vyoo inakuwaje baada ya kumaliza kukata gogo?
Maji utatumiaje sasa na huku umekaa?Kuna tissue na maji, wewe tu.
Aisee...kuna ile pipe ya pressure ndio kazi yake.Maji utatumiaje sasa na huku umekaa?
Haha.. hili hata chumbani unaachia...ngoja siku ubanwe na tumbo la kuhara ndio utajua kwanini ndege haina reverse gear
Dah Mazoezi tena MmhHuko peke yako kutumia hivyo vioo unahitaji mazoezi ni vibaya na humalizi haja vizuri sio ushamba ila pendelea kuvifanyia mazoezi








Historia yako Inaonyesha Ushawahi Achia Mzgo kitandani Hahaha JokesMie ni kanyaga twende..! Hata kikiwa cha kulala..!