DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 31,636
- 81,533
Inawezekana Mkuu love is blind japo Mimi siwezi hata nikipewa Nyumba na gari
Mwanamke wa maama ndjo yukoje weye? Hamnaga mwanamke wa maana wote ni chombo cha starehe yetu broookwa hii lugha hutapata mwanamke wa maana
hii lugha hutapata mwanamke wa maanaMwanamke wa maama ndjo yukoje weye? Hamnaga mwanamke wa maana wote ni chombo cha starehe yetu brooo
Kabisa kabisa. Hili halina upinzani.Thanks na haya ndio mawazo ya kiume kutoka kwa mwanaume anayetambua thamani yake na thamani ya mwanamke kwenye soko la mahusiano....!!
Thamani ya mwanamke inajengwa na vitu kama purity/less body counts,less sexual experience,high ability to bond and subservience.... na hivi vitu utavikuta kwa mwanamke mwenye umri chini ya miaka 24...
Thamani ya mwanamke kwenye mahusiano sio pesa zake au spirit yake ya upambanaji kama simps wanavyofikiri..!! Unless kwa mwanaume anayependa kulelewa/kuolewa na mishangazi ndio atamthaminjsha mwanamke kwa vigezo hivyo.
Hao wanawake wa hovyo hovyo ndio nawataka mie. Hao wa maana bakini nao nyiehii lugha hutapata mwanamke wa maana
Duh mechi kabla haijaanza tiyari umeshapigwa chuma mbili, upo tiyari kwa hilo mkuu?Miaka 35 and two kids ni Binti?
Na Kingine inategemeana na umri Sasa kama wewe una miaka 40 mbona hakuna ubaya hapo na ana watoto wa kuanzia maisha kabsa
Weee sema kweli!!! Means Hata wa 50 unafumuaa tu ?? Huendi mbinguni lo 😁
Miaka siyo muhimu, muhimu anasehemu za siri...Weee sema kweli!!! Means Hata wa 50 unafumuaa tu ?? Huendi mbinguni lo 😁
Na utelezi au mtatumia hata lubricant 😁😁😁!!Miaka siyo muhimu, muhimu anasehemu za siri...
Mwanamke wa miaka 35 mbona bado anautamu kama waote...Na utelezi au mtatumia hata lubricant 😁😁😁!!
Utafika imeisha hio walahi
Weeeee sema kweli!!!Mwanamke wa miaka 35 mbona bado anautamu kama waote...
Ila sina picha wala video kwa faida ya mtu yoyote...
Utamu ni hisia zako mwenyewe...Weeeee sema kweli!!!
Na tubinti twa under 20 je utamu wao ukoje????😊
Vipi utamu wa mishangazi????😁Utamu ni hisia zako mwenyewe...
Hivi hawa mnaowaita mashangazi ni kunzia umri gani?Vipi utamu wa mishangazi????😁
Umri wa miye nakuendelea 😁😁😁😁😁!!Hivi hawa mnaowaita mashangazi ni kunzia umri gani?
Wewe mbona bado katoto sana, ndiyo maana unaringa ringa na kurembua rembua sana... hahahaUmri wa miye nakuendelea 😁😁😁😁😁!!
Ukiona mtu anatafuta mwanamke mpambanaji ujue huyo ni mariooWakuu
Salaamu,naomba kuuliza tu mfano wewe umekutana na Binti wa miaka 35,mwenye watoto wawili baba tofauti,unaweza oa mwanamke wa dizaini hii?
Ni piss ya kwenda,mpambanaji but kasoro ni hiyo tu,
Mkuu kwann unasema hivyo, mi nipo na watoto wabichi wa afu mbiliUJasiri wa kuoa mpigani uhuru kama huyo tena tayari ana mabao ya wanaume wawili, wanao vijana kama Half american na Tsh
Mimi na jamaa yangu mzabzab hatuwezi hata kufikiria.