Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 42,436
- 50,163
Mwanamke binti mwisho miaka 22mkuu, huyo ni bi kizee. Ilasijalishi mzuri vipi akiwa na mtoto hata mmoja tuhafai kuoa
Mwanamke binti mwisho miaka 22mkuu, huyo ni bi kizee. Ilasijalishi mzuri vipi akiwa na mtoto hata mmoja tuhafai kuoa
Gorgeous 😍
Konyag ndogo ni elfu Tano hata masikini wanamuduWatu na pesa zenu
Ukiwa na huyo utakuwa kama mzee Uzegeni wa Marijan RajaabGorgeous 😍
Ila si anaolewa tu mbonaUkiwa na huyo utakuwa kama mzee Uzegeni wa Marijan Rajaab
Wengine hatuna elf tanoKonyag ndogo ni elfu Tano hata masikini wanamudu
Njoo tunywe afu asubuh nitakupaWengine hatuna elf tano
NeverWakuu
Salaamu,naomba kuuliza tu mfano wewe umekutana na Binti wa miaka 35,mwenye watoto wawili baba tofauti,unaweza oa mwanamke wa dizaini hii?
Ni piss ya kwenda,mpambanaji but kasoro ni hiyo tu,
Atakuvuruga mara 4 ya singo maza, si unaona kabisa kana machepeleSi bora nichukue saizi yangu kama huyu Anastasia21
Inategamea na malengo na umri wa muoaji. Mfano mimi nataka mwanamke niishi nae ambaye kamaliza issues za kuzaa. Nahitaji kuanzia 45 na kuendelea.Wakuu
Salaamu,naomba kuuliza tu mfano wewe umekutana na Binti wa miaka 35,mwenye watoto wawili baba tofauti,unaweza oa mwanamke wa dizaini hii?
Ni piss ya kwenda,mpambanaji but kasoro ni hiyo tu,
😁😁 ulijiunga jf ukiwa na miaka 7 mkuuYaani na umri wangu wa miaka 20 nioe wa miaka 35 si nakuwa nimebakwa?
Baba wa hao watoto wamekufa au wapo hai?Wakuu
Salaamu,naomba kuuliza tu mfano wewe umekutana na Binti wa miaka 35,mwenye watoto wawili baba tofauti,unaweza oa mwanamke wa dizaini hii?
Ni piss ya kwenda,mpambanaji but kasoro ni hiyo tu,
Makaburi mawili umeyaona????Wakuu
Salaamu,naomba kuuliza tu mfano wewe umekutana na Binti wa miaka 35,mwenye watoto wawili baba tofauti,unaweza oa mwanamke wa dizaini hii?
Ni piss ya kwenda,mpambanaji but kasoro ni hiyo tu,