Yoav Gallant
JF-Expert Member
- May 23, 2023
- 2,816
- 6,086
Hapo ni sawa na kununua gazeti jioni
Wewe una miaka mingapi je unafahamu maana ya ndoa, (make)Wakuu
Salaamu,naomba kuuliza tu mfano wewe umekutana na Binti wa miaka 35,mwenye watoto wawili baba tofauti,unaweza oa mwanamke wa dizaini hii?
Ni piss ya kwenda,mpambanaji but kasoro ni hiyo tu,
Ndugu hiyo Aggregate 🤣Mechi Gani inaanzaga 2-0
Sisi wakamaria hiyo tunaita Handicap.Mechi Gani inaanzaga 2-0
We pimbi una miaka mingapi? Kama una 43+ oa tuHunitakii mema,35 yrs Mimi atanizalia watoto wangapi?
With two kids! Hahahaaaumepigwa,hamna binti wa miaka 35!
Miaka 35 kwa mwanamke bado analipa kama anajitunza vizuri tena anaweza kuwapiku hadi vipinti vya 2000.Wakuu
Salaamu,naomba kuuliza tu mfano wewe umekutana na Binti wa miaka 35,mwenye watoto wawili baba tofauti,unaweza oa mwanamke wa dizaini hii?
Ni piss ya kwenda,mpambanaji but kasoro ni hiyo tu,
huyo sio binti ni mwanamke,ndio ukimpenda unamuoa tuWakuu
Salaamu,naomba kuuliza tu mfano wewe umekutana na Binti wa miaka 35,mwenye watoto wawili baba tofauti,unaweza oa mwanamke wa dizaini hii?
Ni piss ya kwenda,mpambanaji but kasoro ni hiyo tu,
Mie naoa mwanamke wa 18-24 basi. Mwenye umri juu ya hapo mie namgegeda tuu kenge huyoUJasiri wa kuoa mpigani uhuru kama huyo tena tayari ana mabao ya wanaume wawili, wanao vijana kama Half american na Tsh
Mimi na jamaa yangu mzabzab hatuwezi hata kufikiria.
Ndo tunataka tuone kwako tunakusikilizia utaweza ama hautaweza!Wakuu
Salaamu,naomba kuuliza tu mfano wewe umekutana na Binti wa miaka 35,mwenye watoto wawili baba tofauti,unaweza oa mwanamke wa dizaini hii?
Ni piss ya kwenda,mpambanaji but kasoro ni hiyo tu,
Thanks na haya ndio mawazo ya kiume kutoka kwa mwanaume anayetambua thamani yake na thamani ya mwanamke kwenye soko la mahusiano....!!Mie naoa mwanamke wa 18-24 basi. Mwenye umri juu ya hapo mie namgegeda tuu kenge huyo
kwa hii lugha hutapata mwanamke wa maanaMie naoa mwanamke wa 18-24 basi. Mwenye umri juu ya hapo mie namgegeda tuu kenge huyo
Hahahaha, mkuu ujana mwisho miaka 35. Sipo huko.UJasiri wa kuoa mpigani uhuru kama huyo tena tayari ana mabao ya wanaume wawili, wanao vijana kama Half american na Tsh
Mimi na jamaa yangu mzabzab hatuwezi hata kufikiria.