Unaweza oa mwanamke wa miaka 35?

Unaweza oa mwanamke wa miaka 35?

Hunitakii mema,35 yrs Mimi atanizalia watoto wangapi?
Hapo kama ni
Mwanaume wa kikojani na mpemba huyo mwanamke anazalishwa watoto 4 ..fasta.
Hadi akifikisha 40 washamalizana.
 
Mambo mengine bana!! Yani mwenzako kuwa na watoto imekuwa kasoro?, Swala la kuoa halina muongozo maalum... Miaka 35 bado sana ana umri wakutumika na kutumikia. Inategemeana na umri wako wewe?, Unaweza ukaoa binti wa Miaka 20 akawa mbovu na changamoto lukuki afandhali huyu mwenye watoto!!.
Watoto kama ni wakubwa awapeleke kwa baba zao vinginevyo utachapiwa na baba wa hawa watoto🚶🚶
 
 
Wakuu

Salaamu,naomba kuuliza tu mfano wewe umekutana na Binti wa miaka 35,mwenye watoto wawili baba tofauti,unaweza oa mwanamke wa dizaini hii?

Ni piss ya kwenda,mpambanaji but kasoro ni hiyo tu,
Hayana formula, ukizama unaweza kuoa hata wa miaka 40.
 
Back
Top Bottom