Unaweza oa mwanamke wa miaka 35?

Unaweza oa mwanamke wa miaka 35?

Umri wake unategemea na wewe, umri wako, matamanio yako, matarajio yako. Macron anaishi na bibi kizee bila shida, so hata wewe unaweza kumuoa tu, ni vile tu unavyotaka iwe.

Mfano, kama upo 40+ huyo anakufaa sana, ukirudi hadi 20s atakusumbua sana coz as you age, libido yako inazidi kushuka while ya kwake inaongezeka.
 
Wakuu

Salaamu,naomba kuuliza tu mfano wewe umekutana na Binti wa miaka 35,mwenye watoto wawili baba tofauti,unaweza oa mwanamke wa dizaini hii?

Ni piss ya kwenda,mpambanaji but kasoro ni hiyo tu,
Mimi nipo tayari kuoa mwanamke mwenye miaka 35 lakini awe singo ambaye hana mtoto au watoto. Mwenye mtoto tayari hiyo ni changamoto, yaani unanunua kiwanja tayari chenye mgogoro.

Mimi kama yupo single woman na ana uhitaji wa mume lakini ana umri miaka 27 hadi 35 namkaribisha.

Soma signature yangu hapa chini
 
Wakuu

Salaamu,naomba kuuliza tu mfano wewe umekutana na Binti wa miaka 35,mwenye watoto wawili baba tofauti,unaweza oa mwanamke wa dizaini hii?

Ni piss ya kwenda,mpambanaji but kasoro ni hiyo tu,
Unaoa mwanamke au unaoa hayo mapambano yake?
 
Thanks na haya ndio mawazo ya kiume kutoka kwa mwanaume anayetambua thamani yake na thamani ya mwanamke kwenye soko la mahusiano....!!

Thamani ya mwanamke inajengwa na vitu kama purity/less body counts,less sexual experience,high ability to bond and subservience.... na hivi vitu utavikuta kwa mwanamke mwenye umri chini ya miaka 24...

Thamani ya mwanamke kwenye mahusiano sio pesa zake au spirit yake ya upambanaji kama simps wanavyofikiri..!! Unless kwa mwanaume anayependa kulelewa/kuolewa na mishangazi ndio atamthaminjsha mwanamke kwa vigezo hivyo.
Kweli kabisa na mfano mzuri kabisa wa simp ni Asap Rock. Baada ya Rihana kutumia late 10's na 20's yake yote na badboys kama wakina criss brown na drake, alipofika 30's kashtuka akaji-submit kwa kijana mdogo ambae amemzidi kila kitu. Asap rocky ni simp na nina uhakika kabisa tukirudi nyuma wakati Rihana ana miaka 22 angekutana na Asap Rocky angemuona kama takataka tu. Kwa ukaribu namfananisha Asap rocky na mtoa mada
 
Back
Top Bottom