mkokamoto
JF-Expert Member
- Jan 2, 2024
- 1,311
- 1,656
Nakazia hapa👿 kikubwa maamuzi binafsi ndo yana nafasi kubwa!!Miaka 35 and two kids ni Binti?
Na Kingine inategemeana na umri Sasa kama wewe una miaka 40 mbona hakuna ubaya hapo na ana watoto wa kuanzia maisha kabsa