NguoYaSikuKuu
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 595
- 712
Kuna jamaa hapa kampata mtoto fulani hivi mkali sana. Pisi hii ipo kwenye moja ya Elite bank hapa nchini na anasukuma baby car fulani hiviii. LOL
Sasa huyu jamaa akagundua hii pisi imedate na moja ya rafiki yake"EX' wa karibu sana, Wakati ndo anataka akamilishe zile taratibu za "kutukuka" na aweke mtoto ndani.
Kifupi, jamaa anaona kama "gundu" fulani ikizingatia mshkaji wake ni wale wa " chovya chovya" na pia jamaa ameoa ...(Rafiki yake ashaoa ila bado "ingiza mwenyewe")
Je, wakuu hii kitu nimshauri vp jamaa? Alifahamu kama wamedate na huyu mtu wake baada ya stories.. Amejua ghafla.
Sasa huyu jamaa akagundua hii pisi imedate na moja ya rafiki yake"EX' wa karibu sana, Wakati ndo anataka akamilishe zile taratibu za "kutukuka" na aweke mtoto ndani.
Kifupi, jamaa anaona kama "gundu" fulani ikizingatia mshkaji wake ni wale wa " chovya chovya" na pia jamaa ameoa ...(Rafiki yake ashaoa ila bado "ingiza mwenyewe")
Je, wakuu hii kitu nimshauri vp jamaa? Alifahamu kama wamedate na huyu mtu wake baada ya stories.. Amejua ghafla.