Avatar inaweza onekana ni picha tu... Lakini si kweli.. Inawakilisha personality ya mtu. Na hiyo personality huwa mwenye avatar anachagua kuwa anataka awe natural ama fake.
Mara nyingi kwa mchangiaji ambaye ni hodari sana, kama ile personality kajenga ni fake (unakuta once in a while kwa wale makini kuwasoma watu) humsoma true colors. HASA ambao hujenga personalities za kujisafisha asivyo... Mfano mtu ambaye anapenda sana ngono (kujifanya hapendi); ama mtu ambaye anakumbatia sana ushoga (kujifanya hakumbatii); ama mtu ambaye ni muongo sana (kujifanya ni mkweli na kuaminika).
Uzuri huja kwa mtu ambae yupo natural... Tutolee mfano
The Boss... Hatoi maoni kujisafisha au kuonekana ni mzuri. Maoni yake siku zote mara nyingi sana hutoa yale ambayo yapo kichwani kwake kwa masuala yoyote yale iwe mahusiano ama nje ya mahusiano.
Mwisho wa siku unapata traits kama vile The Boss ni Muislam (sababu ikiwa Ramadhani you see the change in him), The Boss ni typical African man(Tokana na misimamo yake juu ya mahusiano upande wa wanaume) , The Boss ana sifa za Uanaume na si za Kivulana (Tokana na kuelewa majukumu yake kama mwanaume kwa kujiuliza mara mbili mbili kama anaweza mwambia afanye maarifa), The Boss ni Charming (kwa kufurahia kila member bila kujalisha ni mgeni); na mengine meeengi....
Huo ni mfano tu... So ikitokea member anapenda traits za such a person awe M/ke ama M/me mwenzie, inatokea tu kuwa atampenda na kumkubali.
Zion Daughter na
saudari... Pamoja saana. Mie penda sana nyie pia.