Unaweza kunipenda bila kuniona?.....

Unaweza kunipenda bila kuniona?.....

avatar na miandiko inasema mambo mengi sana kutuhusu!
lakini sio guaranteed kuwa snowhite huyu wa nyuma ya keyboard ndiyo yule sweeet nanihino kwa mumewe.................au mama...........kwa watoto wake,au .......................kwa rafiki zake au madame.......................kwa wanafunzi wake!

Nimependa Avatar yako ila nakuonea aibu
 
HorsePower naogopa kukuita genious mkubwa..ila umeongea vitu vya maana sana bro..
Lakini labda nikuulize swali moja..kipi kinatangulia siku zote ...'kupenda' au 'kutamani'????

...Moyo umeumbwa kupenda kupitia macho kuona na ndiyo maana baadhi ya watu kwa kuona avatar tu hata kama wanajuwa ukweli avatar karibu zote si halisi, basi hujikuta wanaangukia kumzimikia mtu. tabia hii ninaiita ni uvivu wa kufikiri na ni vyema kuwa makini na kuepuka kuiweka mioyo yetu rehani kirahisi namna hii au ktk hatari ya kujeruhiwa kimahusiano.
 
Last edited by a moderator:
Kwani mtu unapenda nini kwa mtu ?

Je unaweza kupenda mtu kwa tabia, charisma au maongezi na company yake ?

Vipofu ambao hawaoni kwani huwa hawapendi ?

Nadhani kama utakubali kwamba mapenzi ni package utagundua kwamba unaweza kupenda mtu bila kumuona kwa kujenga image fulani kuhusu yeye kichwani mwako (though its not wise).

By the way kupenda avatar sio kwamba unapenda usiyemuona bali unapenda image fulani unayodhani unayempenda ndivyo alivyo
 
what i know ni kwamba kuna watu ambao avatar zao reveals who they are. na hawa hata miandiko yao iko hivyo hivyo huwa inawasema ni watu wa aina gani.
but kuna wengine wanajifake kwenye avatar like unakuta kaweka avatar superb ila ukimwona si wa kivile, ama mwandiko unampa chati ila uhalisia hayuko hivyo.
kwangu mimi kwa mtu ili kuweza kupenda na sio kutaman sharti at least amwone muhisika si kiavatar but kihalisia as aone picha ama amwone mwenyewe.
kwenye kutamani hapo mtu anaweza akatami hata nukta tu ikiwekwa na muhusika lolz!
huu kwangu mimi naita ni ugonjwa kabisaaaaaaaaaa manake utahadaika kwa mengi sana. Experience inaonyesha wengi wanao tamaniana kwa avatar ama miandiko huishia kumwagana ama kuvunjana matumaini as wanajikuta walikuwa na higher expectations kumbe muhusika ni wa lowest.
Mashalah ingawa mimni ni mdada mwenzako lakini nimeipenda Avarter yako na imejionesha wazi hata ulivyochangia ni mtu wa hekima uliye katika Ndoa Imara
Kwangu naamini Avarter huwa inam-discribe mtu alivyo
Asante sana shosti wangu
 
NIMEPENDA AVATAR YAKO...MEANS NIMEKUPENDA NA WEWE...lolz!!

ahahahahhahhahahaha kwa hiyo upacha tunaacha sasa?
sijui mshenga atapeleka wapi barua!
af wewe hebu acha kuchakachua thread yako au ndo athari za avatar hizo!aahhahahahha mfano hai kabisa huu!
ghafla naposwa huuku kwa ajili ya avatar!
nimelimiss pama ujue!
 
saudari ....unaweza mpenda mtu kwa sababu ya mwandiko wake????
Na hivi kuna mfanano kati ya avatar na 'maandishi' ya mhusika???

Hebu angalia watu kama gfsonwin, AshaDii, Kaunga, snowhite, @FP, Lisa.
Ukikuta ni mada inayogusa sana, wadada hawa huandika yale ambayo hutoka ndani ya mioyo yao hivyo kunifanya kuwapenda bure tu!!!!
 
Last edited by a moderator:
mwali wangu gfsonwin na wengine walinimindije siku mbili tatu zilizopita hapa niliweka avatar ya bendera ya taifa hapa
nikaulizwa umekuwa lini mzalendo?
eti mwali hebu fafanua hapa!
 
Last edited by a moderator:
sun wu nashukuru mkuu kunifungua macho...
Kitu nilichopata kwako ni kuwa kumbe ..'mapenzi ni imaginations'..yaani unailazimisha akili yako kuwaza vile unapenda...
I have learnt something new from you..isn't it???

Kwani mtu unapenda nini kwa mtu ?

Je unaweza kupenda mtu kwa tabia, charisma au maongezi na company yake ?

Vipofu ambao hawaoni kwani huwa hawapendi ?

Nadhani kama utakubali kwamba mapenzi ni package utagundua kwamba unaweza kupenda mtu bila kumuona kwa kujenga image fulani kuhusu yeye kichwani mwako (though its not wise).

By the way kupenda avatar sio kwamba unapenda usiyemuona bali unapenda image fulani unayodhani unayempenda ndivyo alivyo

Ukijibu
 
Last edited by a moderator:
Hebu angalia na AVATAR yangu..dont you like it???

Mashalah ingawa mimni ni mdada mwenzako lakini nimeipenda Avarter yako na imejionesha wazi hata ulivyochangia ni mtu wa hekima uliye katika Ndoa Imara
Kwangu naamini Avarter huwa inam-discribe mtu alivyo
Asante sana shosti wangu
 
Nimependa Avatar yako ila nakuonea aibu

ahahahahahhahahha leo ndyo leo!
mashemeji na mapacha wanapotaka live kuniwowa kwa ajili ya avatar yangu!
ngoja nione mwisho wake!
ahahahahhahahhaa
bora saudari kajisemea yeye mwandiko wangu tu ananipenda bure bila hata thumni!
 
Last edited by a moderator:
ahahahahahhahahha leo ndyo leo!
mashemeji na mapacha wanapotaka live kuniwowa kwa ajili ya avatar yangu!
ngoja nione mwisho wake!
ahahahahhahahhaa
bora saudari kajisemea yeye mwandiko wangu tu ananipenda bure bila hata thumni!

Sio mwandiko wako bali yatokayo moyoni mwako ambayo unayawakilisha kwa wengine kupitia mwandiko.
 
ahahahahahhahahha leo ndyo leo!
mashemeji na mapacha wanapotaka live kuniwowa kwa ajili ya avatar yangu!
ngoja nione mwisho wake!
ahahahahhahahhaa
bora saudari kajisemea yeye mwandiko wangu tu ananipenda bure bila hata thumni!

Nikuwowe mara ngap? Au unataka zle adhabu za miaka ile tulpokuwa tunakufuatilia zijirudie? Nakuonea aibu ujue
 
Last edited by a moderator:
THEDEALER Nimependa humo nilipobold..very interesting kama mtu atapasoma between lines...thanks for the contribution buddy...

Wanasema mtu ni:
...anachokisema
...anachokitenda

wanasema pia quality ya mtu ni
...jinsi anavyosema-communicate
...jinsi anavyofanya-act

Hapa balancing point ni "mindset" kwa maana ya kutenda jambo maana yake ni kutafsiri unachowaza
 
Last edited by a moderator:
sun wu nashukuru mkuu kunifungua macho...
Kitu nilichopata kwako ni kuwa kumbe ..'mapenzi ni imaginations'..yaani unailazimisha akili yako kuwaza vile unapenda...
I have learnt something new from you..isn't it???

Mapenzi is not one thing or the other ni mixture ya vitu vingi.., ni package.., hata wale wengi tunaodhani tunawajua huenda hatuwajui kivile, au tuna-ignore vinavyotuuzi na ku-highlight tunavyovipenda, kwahio hata yule usiyemjua lazima kuna vitu vinakuvutia kwake na vile usivyovijua unafeel in the blanks na the best possible outcome, ndio maana mara nyingi baada ya kumjua mtu sababu ya over-expectations unaweza ukajikuta umekuwa disappointed
 
Naona mambo ya Rich Mavoko yanakuja taratibu.

mwenzangu!
sijui pete iliyoachwa kwa mama SnowBall inafananaje manake mama richard kaachiwa tayari!
unisindikize kuifata ujue kwa avatar yako nakuaminia we ni mtu wa kazi!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom