[emoji28][emoji28][emoji28]Alikuwa kipa alifanya kosa moja baada ndumilakuwili kumwambia angalia mpira huo akimaanisha audake sasa yeye lodilofa akaacha kuudaka akaanza kuuangalia mwishoe mpira ukaingia wavuni likawa goli wamefungwa. Kilichofatia hapo ikabidi wachezaji wenzie wa born town wamshushie kipigo. Yeye alijitetea kwamba ameambiwa aungalie mpira sio audake.
Sikuhizi si limekuwa gazeti la udaku. Hazipo tenaHivi hizo nakala kuna sehemu zipo na mwenye hilo jarida yupo au ndo ishakuwa urithi
HhaaaaNimekumbuka PROF NDUMILAKUWILI aliwapeleka watu kibao hoteli ya kifahari wakitegemea atalipa bill. Tena alikuwa kanyuka suti kaalii utadhani bonge la Boss. Halafu akawaacha solemba. Sikumbuki hata kilichofuata maana ilikuwa mpaka toleo lijalo.
watoto wa "school bus" watatoka kapa hapa
![]()