Alikuwa kipa alifanya kosa moja baada ndumilakuwili kumwambia angalia mpira huo akimaanisha audake sasa yeye lodilofa akaacha kuudaka akaanza kuuangalia mwishoe mpira ukaingia wavuni likawa goli wamefungwa. Kilichofatia hapo ikabidi wachezaji wenzie wa born town wamshushie kipigo. Yeye alijitetea kwamba ameambiwa aungalie mpira sio audake.Lodi lofa alikuwa WA town mkuu Na usafiri wake pendwa
Hahahaha!, enzi hizo school bus tunaiona kwenye movie Kama"war bus",Alikuwa kipa alifanya kosa moja baada ndumilakuwili kumwambia angalia mpira huo akimaanisha audake sasa yeye lodilofa akaacha kuudaka akaanza kuuangalia mwishoe mpira ukaingia wavuni likawa goli wamefungwa. Kilichofatia hapo ikabidi wachezaji wenzie wa born town wamshushie kipigo. Yeye alijitetea kwamba ameambiwa aungalie mpira sio audake.
N'golo anaweza kuwa mtoto au mjukuu wake..Nasikia ndiyo ngolo kante [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Pia alikuwepo bob mazishi huyu alikuwa anacheza rafu sana (Uruguay )
Majina ya hawa Jamaa ni shida.Hui hui nae yupo alikuwa ana maliza beki 3
Umezipata wapi mkuu,nami nikajikumbushe kidogo ......... (yaani kama vipi niwekee link niingie)
Yule born town ww[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hivi Lodi Lofa not Nkapa alikuwaga bush Star?
Yule na mamaake wapo bench la ufundi kazi yao kama ya cc:mshana jrKweli betina sijamuona itakua kaenda kumtafuta zena kwa ajiri ya mpambano lao la ngumi
Mapungo mbna alikuwaga kwenye jarida la bongo mkuu?Namuona hapo Golden boy aka Mapungo
Siye huyoNamuon kijana mwenye kapelo pale juuu karibu na kipepe, atakuwa si kweli??
[emoji2] [emoji2]Usafiri wao ulikuwa ni mkokoteni unaovutwa na mbwa. Mkokoteni ulifungiwa nyama na kuning'inizwa mbele ya hao mbwa. Walikuwa wanatoka mkuku kinoma
Mnachanganya mkuu mapung'o alikuwaga kwenye jarida la bongo humu staa wao alikuwa mzee meko na shati lake la maua anapiga vyenga golini kwake hadi kwa wapinzaniGolden mapung'o