Ndumilakuwili na lodilofa sio timu hii. Wao walikuwa timu ya maborn town na wanacheza namba tano na nne. Walikuwa partners defenderKomredi kipepe. Ndumi la Kiwili.madenge.lodilofa. Hawa wengine wamenitoka
Ndumilakuwili na lodilofa sio timu hii. Wao walikuwa timu ya maborn town na wanacheza namba tano na nne. Walikuwa partners defenderKomredi kipepe. Ndumi la Kiwili.madenge.lodilofa. Hawa wengine wamenitoka
Meko alikuwa straikerNamwona Mzee Meko hapo midfielder kisheti...
Yes wewe uko sahihiKipepe, Huihui, Kobelo, Mzee Meko (Super Striker) na Madenge.
Ni kweli.Meko alikuwa straiker
Yes, hapo kobelo,meko,madenge,huihui,hondohondo,kipepe,kizibaoMzee kobelo namuona hapo
Ukuaji wa Teknolojia uliwaacha nyuma kwa kasi..!hivi kipi kiliyapata magazeti yetu pendwa SANI,BONGO na TABASAMU nilikuwa mdogo sana enzi hizo alafu naish mkoani but nilikuwa nahakikisha napata hizo copy kwa gharama yoyote.Huwa nikirudi nyumbani hasa nyakati za likizo huwa najikumbushia hizo gazeti,coz nilihakikisha natunza copies nyingi, nilipenda haya magazeti kuliko kula.
Mapungo katika gazet la bongo mkuu alienda kuchezea chelsea yule mwehu yeye na bob mikwaraMapung'o