Unawazoesha askari kuua kwa kuwapa laki mbili mwishoe waje kukuua na wewe wakizoea

Unawazoesha askari kuua kwa kuwapa laki mbili mwishoe waje kukuua na wewe wakizoea

Genius Man

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2024
Posts
3,560
Reaction score
7,914
Unawazoesha askari kuua kwa kuwapa laki mbili mwishoe waje kukuua na wewe wakizoea na watapewa laki mbili na mtu mwengine shetani hana rafiki.

Suala la mauaji yanayoendelea na utekaji litakuja kumgharimu na yeye hivi karibuni shetani muuwaji hana rafiki hatukupaswa kupuuzia katiba ya nchi ni upumbavu na ujinga sana.

Kama anaona haya ndio maisha ngoja tuone mwisho wake kweli washauri wake ni akina kingwendu.
 
Unawazoesha askari kuuwa kwa kuwapa laki mbili mwishoe waje kukuuwa na wewe wakizoea na watapewa laki mbili na mtu mwengine shetani hana rafiki.

Suala la mauwaji yanayoendelea na utekaji litakuja kumgharimu na yeye hivi karibuni shetani muuwaji hana rafiki hatukupaswa kupuuzia katiba ya nchi ni upumbavu na ujinga sana.

Kama anaona haya ndio maisha ngoja tuone mwisho wake kweli washauri wake ni akina kingwendu.
Malipo ya damu
 
Kama kaweza wasaliti wengine kwa pesa hata wewe wanaweza kukusaliti.

Hii ni kanuni muhimu sana
 
Unawazoesha askari kuuwa kwa kuwapa laki mbili mwishoe waje kukuuwa na wewe wakizoea na watapewa laki mbili na mtu mwengine shetani hana rafiki.

Suala la mauwaji yanayoendelea na utekaji litakuja kumgharimu na yeye hivi karibuni shetani muuwaji hana rafiki hatukupaswa kupuuzia katiba ya nchi ni upumbavu na ujinga sana.

Kama anaona haya ndio maisha ngoja tuone mwisho wake kweli washauri wake ni akina kingwendu.

Ila jamani tuseme ukweli, uhai wa mtu unapimwa kwa laki 2???

Kweli wale yatima Sasa hivi Wana Hali gani? Hivi wakimlilia MUNGU wao wanaomjua hao wauaji watabaki salama juu ya machozi ya Hawa yatima???

Msifanye mchezo na kilio cha yatima tena awe mtoto Bora yatima awe mtu mzima lakini mtoto aliyekatishwa ndiyo zake kesho anaishia kuwa Changudoa au mwizi kibaka au mtoto wa mtaani.

Kweli hata Rais anajisikiaje juu ya hili? Lakini kwa kauli yake Ile alivyokutana na wazee wa DSM hakuonesha kujutia makosa yake na Wala hata hakujali chochote, jamani tumuogope MUNGU kabla vizazi vyetu havijalaaniwa
 
Kazi ya Askari ni ya kijinga sana.Unaamriwa kuua na unaua kweli?.Hii kazi ni ya kuepuka kabisa mototo wako kuifanya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom