Unatumia CONDOM ya aina gani isiyokupa karaha?

Unatumia CONDOM ya aina gani isiyokupa karaha?

Nyama kwa Nyama tu! nikivaaga zinanicheleweshea mzigo kushuka hadi dem anakasirika! kama vip pimeni kwanza then ngozi kwa ngozi.
 
Rough Rider imekuwa msaada kwangu aysee, ni kondom imara haijawahi kupasuka hata mara moja tangu nilipoanza kuitumia.Nikiwa nayo huwa inanipa kiburi,na daima haijawahi kushusha kiwango changu.
RR Hoyeeeee....!!!
 
Nikushauri tu kutumia natural birth control methods...piga safe days na uwe na uwezo wa kuzuia na kumwaga nje on danger days.

Kama unatumia ndom kuzuia magonjwa umeumia!!!!

So far sijaona ndom nzuri... #experience
 
Back
Top Bottom