Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 7,682
- 12,315
Mimi huwa natumia kondomu kama uliyotumia wewe yenye mafuta mengi,ila huwa naanza kuifua kwanza halafu ndio naingia nayo kunako mechi,nikimaliza nafua tena kwa maandalizi ya mechi ijayo,maisha magumu bhana,bajeti muhimu,wengine tunapiga bao sita kwa usiku mmoja,sasa nikinunua kondomu kila siku naweza kutokula..!!!
Wadau,
Kuna baadhi ya condom zina mafuta sana, nahisi kama si nzuri kwangu coz nikiivaa tu nasikia hata misisimuko inapungua. Si vema kuitaja nisije nikaharibu biashara za watu ila kwa kuwa nimeshaeleza zina mafuta mengi, nitakuwa nimeeleweka. Nishirikishe aina unayotumia wewe nijaribu kubadili aina.
Ahksante sana.