mkabasia
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 2,821
- 2,385
Nikushauri tu kutumia natural birth control methods...piga safe days na uwe na uwezo wa kuzuia na kumwaga nje on danger days.
Kama unatumia ndom kuzuia magonjwa umeumia!!!!
So far sijaona ndom nzuri... #experience
Calendar sawa, ila kiwithdraw ni kazi sana.