Unatumia CONDOM ya aina gani isiyokupa karaha?

Nikushauri tu kutumia natural birth control methods...piga safe days na uwe na uwezo wa kuzuia na kumwaga nje on danger days.

Kama unatumia ndom kuzuia magonjwa umeumia!!!!

So far sijaona ndom nzuri... #experience

Calendar sawa, ila kiwithdraw ni kazi sana.
 
Nyama kwa Nyama tu! nikivaaga zinanicheleweshea mzigo kushuka hadi dem anakasirika! kama vip pimeni kwanza then ngozi kwa ngozi.

ninyi mnaotujazia watoto wasio na malezi mitaani
 
Back
Top Bottom