Unataka kuolewa mdada umejipanga?

Unataka kuolewa mdada umejipanga?

Ha ha ha aah huyo dada nae ni noma, wakati ndo anafika kazini bado mgeni kuna jamaa alitaka kumuoa, kila kitu kimepangwa hadi ukumbi ushalipiwa jamaa akala kona a week before send off, nlimuonea huruma namuona innocent mmh kuja kumjua kumbe ilikua halali yake
Ile kitu ilitiki?
Yes or No?
 
Shoga somo zuri sana na limeniingia.
ila kumbuka si kila ua lililochanua nyuki wanaweza lifata.
Kuna maua mengine yamechanua na yananukia, ila nyuki hawayasogelei.....ndio akina sie sasa.
Ndo yale yale ya mkakasi....
Mwenza espy, mume wetu MO11 alikuta ua lako liko saa 6 mchana au 12 jioni?
vip nimjibie espy au atajibu mwenyewe ?
 
Kwa kweli kuishi na mwanamke mwenye "mdomo mrefu" ni changamoto sana.
 
Last time kapata mchumba, akamuektia mchumba kaingia line akamvalisha engagement, kuanza upelelezi jamaa akaambiwa huyo mwanamke hafai anatukana mno, jamaa kaenda kumuuliza baby nmesikia hivi na hivi, swali la kwanza mwanamke kauliza ni matak* gani huyo kasema, akashusha matusi mchumba akamwambia basi mama hiyo pete utatengeneza hereni, kala kona
Khaaa yani hakuweza hata kufunika kombe jamani

Ila bora coz angemsumbua mwanaume wawatu bure. Wanawake wengine unajiuliza hupati jibu jinsi walivojaa vitimbi
 
Khaaa yani hakuweza hata kufunika kombe jamani

Ila bora coz angemsumbua mwanaume wawatu bure. Wanawake wengine unajiuliza hupati jibu jinsi walivojaa vitimbi
Yule mwanamke ni bomu, mwanaume anaetangaza nia pale lazma umhurumie hata kama haumjui
 
Shoga somo zuri sana na limeniingia.
ila kumbuka si kila ua lililochanua nyuki wanaweza lifata.
Kuna maua mengine yamechanua na yananukia, ila nyuki hawayasogelei.....ndio akina sie sasa.
Ndo yale yale ya mkakasi....
Mwenza espy, mume wetu MO11 alikuta ua lako liko saa 6 mchana au 12 jioni?
MO11 atanisaidia kujibu mwenza.
 
Mwenza mwenzio mie maua yangu yote mawili yamejifunga.
Ngoja nianze kuyachanua maana nyuki wangu yuko Magomeni mataa anakuja kuyachavusha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Shoga somo zuri sana na limeniingia.
ila kumbuka si kila ua lililochanua nyuki wanaweza lifata.
Kuna maua mengine yamechanua na yananukia, ila nyuki hawayasogelei.....ndio akina sie sasa.
Ndo yale yale ya mkakasi....
Mwenza espy, mume wetu MO11 alikuta ua lako liko saa 6 mchana au 12 jioni?
Ahahah nini lakini madame b mbona ulipotea hivi toka mfungo uishe huonekani jamaan eid umekula mwenyewe au ulitekwaaaa
 
Back
Top Bottom