ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,111
- 40,422
- Thread starter
- #181
Ni kweli mi nilipenda sana jana pia USA kutolewa ilikua nzuriNdio, Enzi za CR7 zimekwisha, haya mashindano ni ya mwisho kwao wote.
Ni kweli mi nilipenda sana jana pia USA kutolewa ilikua nzuriNdio, Enzi za CR7 zimekwisha, haya mashindano ni ya mwisho kwao wote.
Yes babu piga kazi wajukuu tutakula mafao ukiwa mzee sanaMajukumu samtaimu, si unajua mambo ya kutafuta ugali. 😊
Yes babu piga kazi wajukuu tutakula mafao ukiwa mzee sana
Ni kweli mi nilipenda sana jana pia USA kutolewa ilikua nzuri
Hivi na nyie mkipata ndoto nyevu mnachafua shuka?Unataka au hutaki? 🫣
Aliuliza hivi, Darling, itawezekana kweli huu siku upite hivi? 😉
Mi nikamwambia, Eeh, itawezekana Yes, wewe usijali, lala na utulie
Heh... gafla bin vuu, mkono wake nikausikia unapapasa kifua taratibu Nikamwambia, Hapana, nasikia kizunguzungu, nasikia kama homa hivi(sitaki nataka)
Akaamka taratibu, akachukua tauro, akaloweka kwenye maji, akaanza kunikanda kwenye paji la uso, akashuka mpaka kifuani, ananikanda taratibu😊
Kumbuka hapo tulikubaliana kua je inawezekana😆
Basi bhana, sijui hata ilikuaje
Kulikua na moment fulani hivi👌
Alikua ananukia perfume fulani, anadai ni mwaka wa kumi na tano hajabadilisha
Nikasema, Weee... inanukia balaa
Basi bhana... Bluetooth connected 💋
Bonge la moment, issue ikawa deep
Basi bhana, si nikashtuka
La haulaaa! Kumbe ni ndoto bhana, nilikua naota🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ila ukiachana na hiyo ndoto yangu...
Hivi wewe ulishawahi kua na bebe, time ya jigijigi ukawa sitaki nataka, au yeye akawa sitaki nataka?
Vipi, jigijigi iliyokua na kamchezo sitaki nataka, unaona vibe lake lipo je?
Thank you JF tutakuna next time 🫂
ShesRise_1 🤚
Very nice tengeneza mazingiraNi kweli, succession plan ni jambo zuri, mimi pia nakula "mafao" ya babu na baba zangu. Wameniambia nihakikishe na nyie wajukuu mnakuta "mafao" hayo. 😊
Au Tramp atabadiri ubao wa matokeo😆USA wafanye kikapu, soka hawaliwezi. Belgium sio mara ya kwanza anafika QF, mafundi wa mpira wale. 😊
Hapana hatuchafui mashuka 😅Hivi na nyie mkipata ndoto nyevu mnachafua shuka?
Au Tramp atabadiri ubao wa matokeo😆
Kweli kabisa tuka chek Argentina basiMpira uwanjani hauna siasa!
Kweli kabisa tuka chek Argentina basi
Argentina tumefungwa ujue🙌 au wewe ni faraoSawa. 😊
Argentina tumefungwa ujue🙌 au wewe ni farao
Mambo yamekua 3🔥🔥Mchezo bado haujaisha, subiri mchezo uishe. It's not over until it's over! 😊
Mambo yamekua 3🔥🔥
Tulia mzee🤣🤣🤣Argentina anakutana na timu mbovu.
Mo Salah alivyofanyiwa ndani ya box, ingekuwa upande wa Argentina ingekuwa penati.😊
Mwenye bahati habahatikiGoli la pili la Misri, ingekuwa ni Argentina, lisingekataliwa. 😊
Tulia mzee🤣🤣🤣
Mwenye bahati habahatiki