Unapovidharau Vyombo vya Umma Ulinzi na Usalama

Shocker

JF-Expert Member
Sep 15, 2012
1,946
3,820
Katika mikutano ya Chadema hivi karibuni baadhi ya wahutubiaji wake kumekuwepo na viashiria vya dharau kwa vyombo vya ulinzi na usalama.

Maneno mengi ya kujilabu yalionyesha wazi kuvidharau vyombo hivyo, kwamba tu wao wamesoma sheria watatumia usomi wao kuwapiga bao vyombo hivyo.

Kukamatwa kwa waliokamatwa nionavyo si vinginevyo ila kuonyeshwa kuwa wanaweza kutiwa nguvuni na kufanywa lolote lile na hakuna atakaeweza kuwasaidia.

Unaposema siogopi, njooni munikamate kama si dharau ni kitu gani? Jaribuni kuwa na maneno ya hekima, unaweza kusema vyombo havitendi haki vina upendeleo na kadhalika, ila kutoa mijicho na kusema huwaogopi, haya sasa mnanyea madebe.

Na yule aliesema Raisi ana akili za matope nina wasiwasi anatumika ili kukichafua chama.
 
Katika mikutano ya Chadema hivi karibuni baadhi ya wahutubiaji wake kumekuwepo na viashiria vya dharau kwa vyombo vya ulinzi na usalama.

Maneno mengi ya kujilabu yalionyesha wazi kuvidharau vyombo hivyo ,kwamba tu wao wamesoma sheria watatumia usomi wao kuwapiga bao vyombo hivyo,

Kukamatwa kwa waliokamatwa nionavyo si vinginevyo ila kuonyeshwa kuwa wanaweza kutiwa nguvuni na kufanywa lolote lile na hakuna atakaeweza kuwasaidia.

Unaposema siogopi ,njooni munikamate kama si dharau ni kitu gani ? Jaribuni kuwa na maneno ya hekima ,unaweza kusema vyombo havitendi haki vina upendeleo na kadhalika ,ila kutoa mijicho na kusema huwaogopi ,haya sasa mnanyea madebe .

Na yule aliesema Raisi ana akili za matope nina wasiwasi anatumika ili kukichafua chama.
Crap from a low mind.
 
Katika mikutano ya Chadema hivi karibuni baadhi ya wahutubiaji wake kumekuwepo na viashiria vya dharau kwa vyombo vya ulinzi na usalama.

Maneno mengi ya kujilabu yalionyesha wazi kuvidharau vyombo hivyo ,kwamba tu wao wamesoma sheria watatumia usomi wao kuwapiga bao vyombo hivyo,

Kukamatwa kwa waliokamatwa nionavyo si vinginevyo ila kuonyeshwa kuwa wanaweza kutiwa nguvuni na kufanywa lolote lile na hakuna atakaeweza kuwasaidia.

Unaposema siogopi ,njooni munikamate kama si dharau ni kitu gani ? Jaribuni kuwa na maneno ya hekima ,unaweza kusema vyombo havitendi haki vina upendeleo na kadhalika ,ila kutoa mijicho na kusema huwaogopi ,haya sasa mnanyea madebe .

Na yule aliesema Raisi ana akili za matope nina wasiwasi anatumika ili kukichafua chama.
Kwa hiyo unataka nn tukusaidie? Au ni uhaini kuwadharau
 
Kutokuogopa ndio dharau??? Yaani kwa akili zako unadhani ni sawa watu waishi kwa kuogopa jeshi la polisi? What the fu*k is wrong with people???
 
Vyombo havikuwekwa kuogopwa na sio vipo kudharauliwa.
Lisu hakupigwa risasi zenyewe alipigwa risasi za mazoezi haziuwi zinavunja ukitokea kufanya uzembe kwenye zoezi, kwa mliopitia jeshini mtanielewa ,risasi wandugu inatoboa katundu kadogo halafu inafumua,zile za lisu ni mablanco tu.
 
Hoja yao ilikua nn? Mpaka kusema hayo. NB: Kwan wew unaogopa? Kama unaogopa basi utakua mhalifu au mpiga dili!!
Katika mikutano ya Chadema hivi karibuni baadhi ya wahutubiaji wake kumekuwepo na viashiria vya dharau kwa vyombo vya ulinzi na usalama.

Maneno mengi ya kujilabu yalionyesha wazi kuvidharau vyombo hivyo, kwamba tu wao wamesoma sheria watatumia usomi wao kuwapiga bao vyombo hivyo.

Kukamatwa kwa waliokamatwa nionavyo si vinginevyo ila kuonyeshwa kuwa wanaweza kutiwa nguvuni na kufanywa lolote lile na hakuna atakaeweza kuwasaidia.

Unaposema siogopi, njooni munikamate kama si dharau ni kitu gani? Jaribuni kuwa na maneno ya hekima, unaweza kusema vyombo havitendi haki vina upendeleo na kadhalika, ila kutoa mijicho na kusema huwaogopi, haya sasa mnanyea madebe.

Na yule aliesema Raisi ana akili za matope nina wasiwasi anatumika ili kukichafua chama.
 
Katika mikutano ya Chadema hivi karibuni baadhi ya wahutubiaji wake kumekuwepo na viashiria vya dharau kwa vyombo vya ulinzi na usalama.

Maneno mengi ya kujilabu yalionyesha wazi kuvidharau vyombo hivyo, kwamba tu wao wamesoma sheria watatumia usomi wao kuwapiga bao vyombo hivyo.

Kukamatwa kwa waliokamatwa nionavyo si vinginevyo ila kuonyeshwa kuwa wanaweza kutiwa nguvuni na kufanywa lolote lile na hakuna atakaeweza kuwasaidia.

Unaposema siogopi, njooni munikamate kama si dharau ni kitu gani? Jaribuni kuwa na maneno ya hekima, unaweza kusema vyombo havitendi haki vina upendeleo na kadhalika, ila kutoa mijicho na kusema huwaogopi, haya sasa mnanyea madebe.

Na yule aliesema Raisi ana akili za matope nina wasiwasi anatumika ili kukichafua chama.
Wasekwe ndani.Tumekaa kwa amani.
 
Katika mikutano ya Chadema hivi karibuni baadhi ya wahutubiaji wake kumekuwepo na viashiria vya dharau kwa vyombo vya ulinzi na usalama.

Maneno mengi ya kujilabu yalionyesha wazi kuvidharau vyombo hivyo, kwamba tu wao wamesoma sheria watatumia usomi wao kuwapiga bao vyombo hivyo.

Kukamatwa kwa waliokamatwa nionavyo si vinginevyo ila kuonyeshwa kuwa wanaweza kutiwa nguvuni na kufanywa lolote lile na hakuna atakaeweza kuwasaidia.

Unaposema siogopi, njooni munikamate kama si dharau ni kitu gani? Jaribuni kuwa na maneno ya hekima, unaweza kusema vyombo havitendi haki vina upendeleo na kadhalika, ila kutoa mijicho na kusema huwaogopi, haya sasa mnanyea madebe.

Na yule aliesema Raisi ana akili za matope nina wasiwasi anatumika ili kukichafua chama.
Unapokutana na vyombo vya umma na ulinzi vinapoacha kusimamia sheria, na kutii waziwazi maagizo ya hivyo ya viongozi walioko madarakani kwa wizi wa kura, utakuwa mjinga kuheshimu vyombo vya aina hiyo. Njia sahihi ni kuwapa lugha ngumu wanazoweza kuzielewa.
 
Pale mwenye mamlaka anaposhindwa kuheshim mamlaka yake na kutenda sawasawa na utaratibu basi kifuatacho ni kudharaulika tu... Jeshi la polisi sijui so usalama wa Taifa ni genge lilojaa wajinga na wahuni, haiwezekani Nchi inaingia kwenye mtanziko wa namna hii wao hawana wanachoweza kusaidia Nchi na Mali zake!!.
Nawezaje kuheshimu vijipolisi vinavyobambikizia watu kesi za kijinga?, Hata Nape na Kinana aliidharau mamlaka ya magufuru nakumuita Mshamba... Tutaheshim mamlamka pale zitakapotambua umhimu wa Mali zetu watanganyika.
 
Ndugu Exy ,unayosema yanamwega ,ila si kujifanya kifua mbele kana kwamba unaweza kupambana kiRambo ,umeona sasa ,kumebakia kelele za majibwa koko au tuseme makelele ya milango.

kwa uzoefu hapa TZ hao jamaa wakiachiwa ,utawaona wapo kimya kabisa kama sioo,yaani hutawasikia tena kuleta kidomodomo.
Hii Tz nchi ya wapemba tunajuana kwa vilemba.
 
Back
Top Bottom