Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 29,027
- 84,401
Na mwanamke mmoja?😬Wengi Kwako 😂🤣
Kwangu bado nahitaji zaidi na zaidi
Na mwanamke mmoja?😬Wengi Kwako 😂🤣
Kwangu bado nahitaji zaidi na zaidi
Mtoto anajua anaempenda na asiyempenda. Upendo wa mtoto haudanganyi hata akikuchukia jua ni kweli na kuna kitu ulifanya akawa hivyo.😁Na hapa ndipo ninawapigia salute wanawake, iwe mama ama beki 3, nina watoto zangu wawili sehemu wanampenda beki 3 kulikp chochote, mama yao anajitahidi lakini wapi, huyu wa chini ya mwaka kuna muda anagoma kulala, inabidi alale kwa dada yake kwanza ndio achukuliwe 😂, huyu mwingine miaka mi3 yeye akiamua anagoma, labda mie niwepo huko mdio anakubali kulala na mimi badala ya kwa dada yake...
🤣😂 wanawake wa sasa nani wa kukuzalia watoto 5,6 huko?Na mwanamke mmoja?😬
Dahh ndoa za siku hizi ni kama geresha tu!🤣😂 wanawake wa sasa nani wa kukuzalia watoto 5,6 huko?
Napiga na wanawake tofauti tofauti
Msijali, ninalo toroli spesheli la kuwabeba mkilewa🤣Ili tukalewe wote tuangukie mtaroni mpaka kukuche😂
Umenikumbusha kuna baba mmoja nilikuwa naishi naye jirani, asubuhi sana kashaenda kukiwasha🫢 yani saa 7 tu kasharudishwa na wenzie kwenye toroli dahh! Apumzike kwa amani😥Msijali, ninalo toroli spesheli la kuwabeba mkilewa🤣
Bills zinapoanza kuja ndio gharama ya mtoto huonekana.Infropreneur njoo umsikie huyu dada anachokisema
Watoto ni gharama.Sasa hivi naongea mwenyewe barabarani , hapo ana miaka kumi !
Daima watoto ni wazuri ila wanakuwa wazuri na wenye kuvutia wanaponkuwa wachanga, ila wakiisha anza kuhitaji mahitaji nje ya nyumbani kama ada, matibabu , garama za vifaavya shule, mavazi , nk mzazi wa kiume anapata cha moto kidogo.
Binti ShesRise_1 umesikia hapa point yakeBills zinapoanza kuja ndio gharama ya mtoto huonekana.
Hiyo furaha ni ya muda tu.
Especially boysRaha ya watoto wakiwa wadogo, wakianza kufikia miaka 12 na kuendelea, utatoka mvi ndani ya wiki....
Elon musk tajiri namba moja duniani, anasikitika mwanae mmoja amekuwa Shoga.Hata kama wewe ni bilionea, bado haiondoi uhalisia kwamba ukipata watoto hawatoteseka... Anaweza kutekwa akateswa vibaya sana kisha akauawa au akaachiwa kilema.
Kuna ajali, magonjwa na sonona zisizo na sababu huku dunia nayo ikiwa ni mwamba unaoelea hewani pasipo na usalama wa uhakika.... Hivyo ukishagundua hili bora ule zako bata ukija kudanja usiache uzao nyuma/ufe na mbegu zako😄
NAdhani tuheshimu makubaliano ya wawili..Dahh ndoa za siku hizi ni kama geresha tu!
Dahh siamini! Ila ni sahihi kama mna makubaliano!NAdhani tuheshimu makubaliano ya wawili..
Hakuna geresha, nataka watoto nae anaelewa na tayari kanikuta nao wengi mnooo
Kifupi mzee wangu alikuwa na watoto 23, na juzi tumemjua mwingine, 24 hao,nataka nimfunike 🤣😂