ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 54,601
- 127,135
Sema baadhi, rudia tena kusema baadhi mkuu/mzee mwenzangu.Roho juu juu muda wote kuhusu usalama wake, tabia zake, mafanikio yake na mambo mengine. Hii ni hasa kwa kina mama maana wababa kwa kweli hawajawahi kuwa na uchungu na watoto wao😄
Wababa wa kizazi hiki tunapenda sana welfare ya watoto wetu. Acha kabisa.