Unapenda watoto?

Unapenda watoto?

Roho juu juu muda wote kuhusu usalama wake, tabia zake, mafanikio yake na mambo mengine. Hii ni hasa kwa kina mama maana wababa kwa kweli hawajawahi kuwa na uchungu na watoto wao😄
Sema baadhi, rudia tena kusema baadhi mkuu/mzee mwenzangu.

Wababa wa kizazi hiki tunapenda sana welfare ya watoto wetu. Acha kabisa.
 
Watoto wote wakiwa wadogo ni rafiki sana wa baba,
Watoto wa kiume wakifikisha umri wa miaka 10 na kuendelea wanaanza kumtenga baba na kuside na mama zao. SIJAJUA NINI KINASABABISHA. Pamoja na kuwahangaikia sana huwa hawatambui mchango wa baba.

Ngoja ni subiri wa kike wakifika umri huo nione wao wanabehave vipi.
 
Watoto wote wakiwa wadogo ni rafiki sana wa baba,
Watoto wa kiume wakifikisha umri wa miaka 10 na kuendelea wanaanza kumtenga baba na kuside na mama zao. SIJAJUA NINI KINASABABISHA. Pamoja na kuwahangaikia sana huwa hawatambui mchango wa baba.

Ngoja ni subiri wa kike wakifika umri huo nione wao wanabehave vipi.
Mwanaume unamuelewa baba ukubwani ukishazeeka, baba haongei sana, hanaga kampeni kama mama.

Binafsi napendelea sana watoto wa kiume.
 
Huwa wanazingua sana. Yaan usiombe uachiwe watoto wa umri huo. Huwezi kukaa na amani mda wote ni kuwachungulia wanafanya nini cause ukizubaa wanafanya mambo ya hatari. Wamama wanamoyo sana kushinda na watoto, wanahekaheka sana tena ni udadisi wa mambo ya hatari.😅😅😅Ukizubaa unamkuta na dumu la mafuta ya taa anajimiminia tu
Na hapa ndipo ninawapigia salute wanawake, iwe mama ama beki 3, nina watoto zangu wawili sehemu wanampenda beki 3 kulikp chochote, mama yao anajitahidi lakini wapi, huyu wa chini ya mwaka kuna muda anagoma kulala, inabidi alale kwa dada yake kwanza ndio achukuliwe 😂, huyu mwingine miaka mi3 yeye akiamua anagoma, labda mie niwepo huko mdio anakubali kulala na mimi badala ya kwa dada yake...
 
Back
Top Bottom