Unapenda watoto?

Unapenda watoto?

Aisee wewe unawajua watoto vizuri wao hawajui kama mda huu sio wa kucheza

Mtu una majanga yako mtoto haelewi 🤣

Bibi apumzike kwa amani
Unaweza kuwafinya kwakweli, sema ndo watoto..unaruka nao hivyohivyo. Mbaya zaidi wakati wewe unahitaji kupumzika mwenzio kwake ndo kumekucha. Wapo ambao hawalalagi usiku yaan yeye akishtuka saa nne au tano usiku umeisha na wengine ni alfajiri ya kuanzia saa 10 au 11 asubuhi yeye ndo anaamka hasa hawa wa miezi kadhaa😀😀😀. Mtoto msumbufu ni rahisi kumgundua akiwa anaumwa / / au kapata tatizo lolote hata asipokwambia unajua mtoto hayuko sawa, anabadirika kabisa si kama ulivyomzoea so unajua hapa kuna kitu tu.
 
Mtoto msumbufu ni rahisi kumgundua akiwa anaumwa / / au kapata tatizo lolote hata asipokwambia unajua mtoto hayuko sawa, anabadirika kabisa si kama ulivyomzoea so unajua hapa kuna kitu tu.
Sana unagundua haraka sana

Watoto ni dunia nyingine🥰
 
Back
Top Bottom