Sasa hivi naongea mwenyewe barabarani , hapo ana miaka kumi !Raha ya watoto wakiwa wadogo, wakianza kufikia miaka 12 na kuendelea, utatoka mvi ndani ya wiki....
Alikuwepo ila alikua mpole sana sikumbuki kama aliwahi kunipigaDaddy alikuwa wapi?
AmenNamshukuru Mungu kwa kunijalia watoto. Kupitia hao nimejikuta napambana kwa bidii na maarifa ili siku moja niweze kuwaandalia kesho yao.
Sana tena sanaWatoto wana namna fulani ya kukufanya uendelee kupambana kwa nguvu💪🙏
Wow akakutoa kwenye uzinzi🥰My little angel alinifanya niache umalaya
everytime :dad come home I Miss you
Usiwe mkali sana wala mpole kupitiliza kila kitu kwa kiasisijui nipo kundi gani sitaki mtoto anayekuwa nje ya nitakavyo mimi awe wangu ama wa mtu ntambandua mbalala nimtie chumvi
😍watoto raha sana, napenda cheza nao pia !
MashaAllah 🥰Mie napenda watoto kwa kweli.. mpaka sasa ninao 13 na mimba 3, mambo yakienda vizuri watakuwa 16 kwa mwaka huu
Magical feeling ✨️ 😍I looove babies yani!
View attachment 3592672
Pole lakin kama hawana tabia mbayaSasa hivi naongea mwenyewe barabarani , hapo ana miaka kumi !
Daima watoto ni wazuri ila wanakuwa wazuri na wenye kuvutia wanaponkuwa wachanga, ila wakiisha anza kuhitaji mahitaji nje ya nyumbani kama ada, matibabu , garama za vifaavya shule, mavazi , nk mzazi wa kiume anapata cha moto kidogo.
Maskini anaona kabisa leo kuna kitu hakiko sawa na wao wana akili wana uwezo wa kutambua mamboNapenda sana watoto, watoto wachunguzi aisee anaweza sema leo hauko sawa nini shida. Nachekaaaa namwambia am ok son.
Kuna tuzo?🫢Mie napenda watoto kwa kweli.. mpaka sasa ninao 13 na mimba 3, mambo yakienda vizuri watakuwa 16 kwa mwaka huu
HAkika,Watoto wana namna fulani ya kukufanya uendelee kupambana kwa nguvu💪🙏