Unapenda watoto?

Unapenda watoto?

Mimi napenda sana watoto ila tu nikaa nao wasilie, wasipuu wala kujikojolea. Pamoja na hayo siwezi kukaa na mtoto kwa zaidi ya masaa mawili yaani naona wanageuka Kero. Kama WIFE akitoka kidogo akiniacha nao ndani naweza kuchukua bajaji nikamfuata huko nimpelekee watoto
Wanaume baadhi yenu mpo hivyo
Muhimu uwatunze nayo ni namna nzuri ya kuonesha upendo
 
Elon musk tajiri namba moja duniani, anasikitika mwanae mmoja amekuwa Shoga.

Yaani hii dunia acha tu.

Unaweza kuwa na pesa ndio. Unazaa watoto unawahangaikia kila kitu, mwisho wa siku wanakuja kuku disappoint vibaya mno.

Hadi unajuta kwa nini ulizaa!
Ujinga wa wanadamu ni kuendelea kuzaliana... Yaani tukigoma kuzaliana itakua ndio mwisho wa matatizo
 
Ujinga wa wanadamu ni kuendelea kuzaliana... Yaani tukigoma kuzaliana itakua ndio mwisho wa matatizo
Kwanini unaita ujinga watu kuzaliana?

Wewe kama hutaki kuzaa acha sio lazima tuwe na mitazamo sawa wote

jifunze kuacha watu wafanye wanavyotaka bila kuwatia ujinga

Maisha ni kupanga na kupanga ni kuchagua👍
 
Kwanini unaita ujinga watu kuzaliana?

Wewe kama hutaki kuzaa acha sio lazima tuwe na mitazamo sawa wote

jifunze kuacha watu wafanye wanavyotaka bila kuwatia ujinga

Maisha ni kupanga na kupanga ni kuchagua👍
Kwahiyo ukila kinyesi nikuache kwakua unafanya unavyotaka?

Ni ipi faida ya mtoto unaemzaa kwenye ulimwengu huu? Acha faida zako za kibinafsi nitajie faida za mtoto unaemzaa

Ndio maana naona Kiranga yupo sawa anavyowabonda
 
Kwahiyo ukila kinyesi nikuache kwakua unafanya unavyotaka?

Ni ipi faida ya mtoto unaemzaa kwenye ulimwengu huu? Acha faida zako za kibinafsi nitajie faida za mtoto unaemzaa

Ndio maana naona Kiranga yupo sawa anavyowabonda
Huu uzi ni kwa ajili ya watu wanaopenda watoto

Kuelezea namna wanavyojisikia kuhusu watoto na watu wengi wameshaeleza

Hiyo mijadala mingine unayoleta sina haja nayo saivi mkuu 🤝
 
Ujinga wa wanadamu ni kuendelea kuzaliana... Yaani tukigoma kuzaliana itakua ndio mwisho wa matatizo
Tunahitaji kuzaliana sababu ya survival ya specie yetu, labda useme tupunguze idadi au kuwe na sheria nani anastahili kuzaa ukitimiza vigezo fulani
 
Back
Top Bottom