Unapenda watoto?

Unapenda watoto?

Siishi kwa ajili ya tuzo, na kama ni tuzo basi watoto ndio tuzo yenyewe...
Kifupi napenda tu watoto, mwaka huu mungu akijaalia watakuwa 16. Na mwakani huenda nikaongeza..
Lengo wafike 20 na kama uwezo ukiruhusu zaidi basi natamani zaidi na zaidi hata kama watafika 30
Vp kuhusu huduma 🤔
 
Mtoto miye simfugi kizungu sana huwa namuacha acheze na baiskeli huko nje, anapigwa kidogo akija anashtaki namwambia unapaswa kumrudishia bwana.
Akienda madrasa anakutana na watoto wenzake anawaleta home ananitambulisha
Basi ndiyo maisha yenyewe hayo.

Huogopi atapatwa na matatizo huko anapoenda kucheza
Au Mungu atosha kumlinda?

Dunia imeharibika siku hizi
 
Wanasema kuwa ukiwa na mtoto wa miaka 2 - 5 hivi, halafu akapotea kwenye uwepo wako na huko aliko akiwa kimya, ujue anafanya uchunguzi wenye uharibifu😀. Labda amepasua simu, anaharibu kitasa nk
Ninae anko wangu mmoja. Huyu ukiona kimya basi ujue kuna jambo analibananga huko ndani. Yaan mkamtafute kwenye makabati huko. Anaweza akafungua kabati na akajifungia humo. Kuna friji lilikuwa bovu nalo alikuwa anaingia anajifungia. Yaan ukifungua anakutazama anacheka😁😁😁Yaan mtu unahasira yeye anajichekesha kana kwamba alichokuwa anafanya siyo kitu cha hatari.Kumkuta kamwagamwaga vitu mara kajipaka mafuta mwili mzima au poda ni kawaida sana. Watoto wa huu umri wadadisi sana, ukiona kapotea ghafla lazima atakuwa anafanya janga tu sehemu.
 
Watoto ni viumbe wa ajabu sana, they have a therapeutic power ambayo huwezi kuipata kwingine kote.

Yaani unaweza ukatoka kazini una stress zako, umevurugwa na bosi au biashara, lakini ukifika nyumbani mtoto akakutazama na yale mapengo yake huku akicheka stress zote huwa zinafuta instantly!

It’s like a natural drug.
 
Ninae anko wangu mmoja. Huyu ukiona kimya basi ujue kuna jambo analibananga huko ndani. Yaan mkamtafute kwenye makabati huko. Anaweza akafungua kabati na akajifungia humo. Kuna friji lilikuwa bovu nalo alikuwa anaingia anajifungia. Yaan ukifungua anakutazama anacheka😁😁😁Yaan mtu unahasira yeye anajichekesha kana kwamba alichokuwa anafanya siyo kitu cha hatari.Kumkuta kamwagamwaga vitu mara kajipaka mafuta mwili mzima au poda ni kawaida sana. Watoto wa huu umri wadadisi sana, ukiona kapotea ghafla lazima atakuwa anafanya janga tu sehemu.
Ndio burudani za watoto hizo 😂🤣
 
Watoto ni viumbe wa ajabu sana, they have a therapeutic power ambayo huwezi kuipata kwingine kote.

Yaani unaweza ukatoka kazini una stress zako, umevurugwa na bosi au biashara, lakini ukifika nyumbani mtoto akakutazama na yale mapengo yake huku akicheka stress zote huwa zinafuta instantly!

It’s like a natural drug.
Naunga mkono hoja
 
Huogopi atapatwa na matatizo huko anapoenda kucheza
Au Mungu atosha kumlinda?

Dunia imeharibika siku hizi
Wa kiume yule ukimfungia siku anaweza toka barabarani akawa anaokota vitu anatupa hovyo.
M
Pale mtaani naona jioni watoto wanatoka wanaendasha baiskeli mtaani ni utaratibu wa zamani kweli huo.
Yote kwa yote Mungu atamlinda my presidaaa wangu.
 
Ninae anko wangu mmoja. Huyu ukiona kimya basi ujue kuna jambo analibananga huko ndani. Yaan mkamtafute kwenye makabati huko. Anaweza akafungua kabati na akajifungia humo. Kuna friji lilikuwa bovu nalo alikuwa anaingia anajifungia. Yaan ukifungua anakutazama anacheka😁😁😁Yaan mtu unahasira yeye anajichekesha kana kwamba alichokuwa anafanya siyo kitu cha hatari.Kumkuta kamwagamwaga vitu mara kajipaka mafuta mwili mzima au poda ni kawaida sana. Watoto wa huu umri wadadisi sana, ukiona kapotea ghafla lazima atakuwa anafanya janga tu sehemu.
Anacheka like alikua ana fanya anafanya jambo la maana kumbe hatari
 
Watoto ni viumbe wa ajabu sana, they have a therapeutic power ambayo huwezi kuipata kwingine kote.

Yaani unaweza ukatoka kazini una stress zako, umevurugwa na bosi au biashara, lakini ukifika nyumbani mtoto akakutazama na yale mapengo yake huku akicheka stress zote huwa zinafuta instantly!

It’s like a natural drug.
Yaani wewe umenielewa sana watoto wana nguvu ya kutuliza sijui hii imekaaje
 
Back
Top Bottom