Unaolewa na hustler? Dishi limeyumba nini?

Unaolewa na hustler? Dishi limeyumba nini?

Utamaliza waganga wote kwa kutafuta mume mwenye hela
 
Sexless, maisha hayawezi kuwa sawa maana hatuko kwenye ujamaa, uchumi ni wa ubepari huu, kuna wenye nacho na wasio nacho. Hivyo basi kila binadamu kwa ubinadamu wake ana haki ya kupenda na kupendwa regardless hali yake ya kiuchumi au vinginevyo.

Ingekuwa ni just simple like that dunia ingekuwa na akina Bil gates tu!! Cha msingi ni kuwa na mtu atakayeongeza kitu ktk maisha yako. Material things zinatafutwa. Kuna aina fulani ya wanaume ambao yaani wako sharp by nature na hawahitaji msaada wamwanamke kufika mahali fulani, ila kuna wale wanaohitaji a little push ili waweze kurealize the potentials they have na kuzifanyia kazi.

Ila sasa kama ndio mmekutana wote mnaohitaji kusukumwa ndio mtabakia hapo hapo maana hakuna wa kumsaidia mwenzie. Tuliumbwa jinsia mbili kwa sababu maalumu(sio kuunganisha vikojoleo tu) tunategemeana in one way or another. Hivyo basi cha msingi hapa ni kufundishana kutokuwa comfortable ktk umasikini as hakuna anayefurahia umasikini hata kidogo, we have to push hard,very hard ili tujikwamue na angalau tukienda outing akili ziko relaxed.
(hiki cha leo kwakweli ni cha arusha sio mimi. )
Jioni chungulia mpesa kuna kitu nitaweka humo.

Ngoja niendelee kutafakari haya makundi ya self push, women push au wale wa external push

I'm blessed with with precious comment
 
Siyo kweli mkuu, mlalahoi utakutana wapi na mke wa mlalahai mwenye nazo? Mfano mke Meeng nani atamgusa? Unavuja jasho kubeba magunia sokoni kila siku mwenzako anafanya shopping Ulaya.

Mume mzima anaiba hela ya chumvi akaandaye mkeka (aka-bet)
Mkuu amini maneno yangu..kwn hastler ni mtu wa aina gn?hastler ni muhangaikaji....ni mtu asiyekuwa na kazi maalum mtaani...kuna vijana wengi tu mitaani hawan kazi maalum lakini wapo vizuri tu..kiafya..kimavazi..na ni msafi hata ukifika kwake utashangaa...mleta uzi kaongea mwanamke utaolewaje na hastler? kumbuka hao hastler ndy wana NGUVU Phiysically fit.,.kuliko hao wnye pesa hivyo mtunze mkeo ..mpe kila kitu...akiingia kwa hastler hatoki....sisi tupo mitaani tunaona...wake za watu wanavyofanywa..na hastlers...hata kama huyo mke akienda kufanya shoping huko ulaya kwn huko ndy hakuna hastlers?mapenzi hayana hivyo....pesa inaboresha penzi tu..lakini haimridhihishi mwnamke kimapenzi..mpe mkeo kila kitu kam humridhishi atatafunwa tu....tena bora asipate dume la mitaani...akipata dume hastler hesabu umeumia
 
Hahahahaa walah nimecheka eti unaishia kuandikiwa meseji zenye maneno magumu. Yaani maisha yako magumu bado meseji zikuongezee ugumu wa maisha loh
 
Af we dada tabia yako ya kuwamwagisha kaka zetu povu sio poa ujue
 
Jioni chungulia mpesa kuna kitu nitaweka humo.

Ngoja niendelee kutafakari haya makundi ya self push, women push au wale wa external push

I'm blessed with with precious comment
Yatafakari tu kaka shemeji, lakini hata hao wenye self push still wanahitaji mwanamke atakaempa peace of mind. Wana ego hao wanajifanyaga hawahitaji mwanamke ila deep down they do. Tuna nafasi kubwa tu ktk maisha yenu as you do too, kwahiyo wote tukizifanya nafasi zetu vyema allmost kila kitu kinakwenda vyema kabisa.
 
You're sexless,
Binafsi nimekutafsir kama mdoli,
Aloshika rimoti ya akili yako ndo hustler mwenyewe.
 
Back
Top Bottom