finnest
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 834
- 1,240
Na uniandae kuharibikiwa mwili wako mana kila atakachoongea utakubal cz ana hela
Weee wangapi wamekukubalia unachosema ilihali huna hela .....
katika mahusiano kukubaliwa vitu unavyotaka haihusiani na hela unaweza usiwe na pesa na bado ukakubaliwa.
Choice is yours .... Being a surviver or to live a life everyone wish tooo