Unamletea kisirani anayekula, kwani wewe nani alikulazimisha ushinde na njaa tena ikiwa umekula usiku kucha?

00001

Member
Jul 28, 2020
99
322
Hii comment murua kabisa kutoka kwa bwana denoo JG kukemea kinachoendea huko Zanzibar.

Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya Wahanga na kuzaa gharika

Ameanza na ushauri
Tatizo upeo tu, wale watu wanatakiwa kuwa wanapewa safari za boti bure kuja huku bara kujifunza watu wanavyoishi.

Anachohisi ni tatizo
Kukaa kwao sehemu moja muda mrefu kumewafanya kuwa kama wanakijiji wasiojua nini kinaendelea kijiji cha pili.

Anashangaa jinsi hii jamii (Znz) ilivyo ya ajabu
Wanawazuia wengine wasile kisa wao wamefunga, sasa badala ya kufunga kuendane na unyenyekevu, wao wanaleta ubabe, hiyo inakuwa funga ya sampuli gani?

Anakemea unafiki
Wanajidai kufunga huku wanawaza kula muda wote ndio sababu yao kupiga marufuku wengine wasile, kama wangekuwa wanafunga kweli wasingekuwa na muda wa kufikiria wengine wanafanya kitu gani.

Unamletea kisirani anayekula, kwani wewe nani alikulazimisha ushinde na njaa tena ikiwa umekula usiku kucha? hii kitu kumbe inaonesha hao wafungaji hawafungi kwa moyo, ni hizo sheria zao huko ndio zinawalazimisha kufunga.

Anatoa Elimu
Jambo la kiimani halitakiwi kusukumwa na kiboko, hiyo inakuwa sio imani tena, ni amri ya ulimwengu ambayo inakuwa lazima muifuate mtake au msitake.

Huwezi kumlazimisha mtu kwenda mbinguni kwa kiboko, atakuwa tu anakufurahisha machoni kwa kushinda na njaa, kumbe moyoni anatamani kupiga msosi, hiyo funga ya hao jamaa simply naona ni maigizo matupu.
 
Na huyu aliachwa huru,kama kuna imani na siyo unafiki tungeona maandamano ya hili choko
Screenshot_20240329-160738.png
 
Kumpiga mwenzako sababu anakula mchama na wewe umefunga ni ishara tosha kwamba imani yako ni ndogo kama punje ya haradali

Mtu anayefanya hivyo ataweza kweli kujizuia kusex na mke wake ambaye anakaa naye ndani mchana wa Ramadhani?

Ataweza kweli kujizuia kunywa juice ya baridi mchana?

Kama imani inakushinda hadharani je mafichoni.

Waache unafiki!
 
Hii comment murua kabisa kutoka kwa bwana denoo JG kukemea kinachoendea huko Zanzibar.

Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya Wahanga na kuzaa gharika

Ameanza na ushauri
Tatizo upeo tu, wale watu wanatakiwa kuwa wanapewa safari za boti bure kuja huku bara kujifunza watu wanavyoishi.

Anachohisi ni tatizo
Kukaa kwao sehemu moja muda mrefu kumewafanya kuwa kama wanakijiji wasiojua nini kinaendelea kijiji cha pili.

Anashangaa jinsi hii jamii (Znz) ilivyo ya ajabu
Wanawazuia wengine wasile kisa wao wamefunga, sasa badala ya kufunga kuendane na unyenyekevu, wao wanaleta ubabe, hiyo inakuwa funga ya sampuli gani?

Anakemea unafiki
Wanajidai kufunga huku wanawaza kula muda wote ndio sababu yao kupiga marufuku wengine wasile, kama wangekuwa wanafunga kweli wasingekuwa na muda wa kufikiria wengine wanafanya kitu gani.

Unamletea kisirani anayekula, kwani wewe nani alikulazimisha ushinde na njaa tena ikiwa umekula usiku kucha? hii kitu kumbe inaonesha hao wafungaji hawafungi kwa moyo, ni hizo sheria zao huko ndio zinawalazimisha kufunga.

Anatoa Elimu
Jambo la kiimani halitakiwi kusukumwa na kiboko, hiyo inakuwa sio imani tena, ni amri ya ulimwengu ambayo inakuwa lazima muifuate mtake au msitake.

Huwezi kumlazimisha mtu kwenda mbinguni kwa kiboko, atakuwa tu anakufurahisha machoni kwa kushinda na njaa, kumbe moyoni anatamani kupiga msosi, hiyo funga ya hao jamaa simply naona ni maigizo matupu.

Washenzi sana hawa watu.
 
Nina ndgu yangu ni muislam.
Aisee yule mtu kakomaa kiimani haswa, kipindi kama hiki huwa anatupikia mchana sisi ambao hatujafunga.
Sio mnafki, ukizingua anakuchana, ukienda tofauti na dini yake basi atakwambia Vishu Mtata hiki sio sawa unanikosea kiimani unafanya nisisali vyema.

Mimi huwa natetea uislam kwasababu ya matendo yake, huwa naamini wapo wengi kama yeye.
Yeye kwake mkristo sio adui ila tu uwe unasali, usiwe mtu bila dini basi kama huna dini usiwe na matendo ya hovyo.

Yule ndgu yangu nitamkuta peponi, insha'Allah.
 
Saivi imeenda kujificha kwa aibu kuu yani hawataki tena hata kusoma thread..
Aibu iwe juu yenu.
 
Hii comment murua kabisa kutoka kwa bwana denoo JG kukemea kinachoendea huko Zanzibar.

Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya Wahanga na kuzaa gharika

Ameanza na ushauri
Tatizo upeo tu, wale watu wanatakiwa kuwa wanapewa safari za boti bure kuja huku bara kujifunza watu wanavyoishi.

Anachohisi ni tatizo
Kukaa kwao sehemu moja muda mrefu kumewafanya kuwa kama wanakijiji wasiojua nini kinaendelea kijiji cha pili.

Anashangaa jinsi hii jamii (Znz) ilivyo ya ajabu
Wanawazuia wengine wasile kisa wao wamefunga, sasa badala ya kufunga kuendane na unyenyekevu, wao wanaleta ubabe, hiyo inakuwa funga ya sampuli gani?

Anakemea unafiki
Wanajidai kufunga huku wanawaza kula muda wote ndio sababu yao kupiga marufuku wengine wasile, kama wangekuwa wanafunga kweli wasingekuwa na muda wa kufikiria wengine wanafanya kitu gani.

Unamletea kisirani anayekula, kwani wewe nani alikulazimisha ushinde na njaa tena ikiwa umekula usiku kucha? hii kitu kumbe inaonesha hao wafungaji hawafungi kwa moyo, ni hizo sheria zao huko ndio zinawalazimisha kufunga.

Anatoa Elimu
Jambo la kiimani halitakiwi kusukumwa na kiboko, hiyo inakuwa sio imani tena, ni amri ya ulimwengu ambayo inakuwa lazima muifuate mtake au msitake.

Huwezi kumlazimisha mtu kwenda mbinguni kwa kiboko, atakuwa tu anakufurahisha machoni kwa kushinda na njaa, kumbe moyoni anatamani kupiga msosi, hiyo funga ya hao jamaa simply naona ni maigizo matupu.
usiku mzima wanakula, halafu sisi mchana hawataki tule, chakula ni cha kwetu, hivi kweli hiyo ndio dini ya amani kweli? ikimbieni hiyo dini, sio ya Mungu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom